KAKA TANZANIA
Member
- Sep 19, 2016
- 65
- 40
Wakuu,kulingangana nateuzi zilizofatana hivi karibuni,Mh.Rais amekuwa akiteua watendaji wake kutoka upinzani ama kwa watu,ambao tunafahamu sio vindakindaki wa ccm.je ndo ccm mpya ama ni kubadili gia angani,kama wazee wa ufipa?
CC
Lizaboni
Lemutuuz
CC
Lizaboni
Lemutuuz