Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa Dodoma katika maadhimisho ya Sherehe ya miaka 54 ya Muungano wa Tanzania ameipandisha Manispaa ya Dodoma na kuwa jiji la Dodoma. Aidha Mkurungenzi wa Manispaa hiyo amempandisha na kuwa Mkurungenzi wa jiji la Dodoma
Kwa mujibu wa Sheria na. 8 ya 2007 kifungu cha 5, mamlaka yenye uwezo wa kupandisha hadhi manispaa kuwa jiji ni Bunge
Je, kuna kifungu cha sheria au kanuni inayompa Rais wa Tanzania uwezo wa kufanya Manispaa kuwa Jiji?
Kwa mujibu wa Sheria na. 8 ya 2007 kifungu cha 5, mamlaka yenye uwezo wa kupandisha hadhi manispaa kuwa jiji ni Bunge
Je, kuna kifungu cha sheria au kanuni inayompa Rais wa Tanzania uwezo wa kufanya Manispaa kuwa Jiji?