seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Members, kwa jicho la tatu na hotuba ya mheshimiwa Rais Magufuli kwenye mkutano mkuu wa CCM 2020, Hotuba yake ya kutoka kichwani ina mambo mengi sana.
Kuna usemi usemao limjaalo mtu ndio limtokalo, ni dhahiri mifano ya Dkt Magufuli kuwa Rais mstaafu Kikwete aliwakata marafiki zake kwa maslahi ya Taifa na yeye wasimshangae ameiga kwao, Je? Kilichomkuta Prof Mbarawa ni kwa maslahi ya Taifa.
Katika hotuba yake kwenye halmashauri ukuu alieleza kuwa kuna watu wanasema nambeba Prof Mbarawa sasa hayupo kwenye tatu bora,watafute kingine cha kuongea
Watu humuita Magufuli Mkali lakini nyuma ya Pazia aliambiwa akaze mwendo
Kuna mambo mengi ya kujifunza ukali wa Magufuli unatokana na nchi alivyoikuta na alivyokabidhiwa toka kwa wakubwa wake,Je aliambiwa awe mkali sana na yeye amefanya kama alivyokabidhiwa?
Kuna usemi usemao limjaalo mtu ndio limtokalo, ni dhahiri mifano ya Dkt Magufuli kuwa Rais mstaafu Kikwete aliwakata marafiki zake kwa maslahi ya Taifa na yeye wasimshangae ameiga kwao, Je? Kilichomkuta Prof Mbarawa ni kwa maslahi ya Taifa.
Katika hotuba yake kwenye halmashauri ukuu alieleza kuwa kuna watu wanasema nambeba Prof Mbarawa sasa hayupo kwenye tatu bora,watafute kingine cha kuongea
Watu humuita Magufuli Mkali lakini nyuma ya Pazia aliambiwa akaze mwendo
Kuna mambo mengi ya kujifunza ukali wa Magufuli unatokana na nchi alivyoikuta na alivyokabidhiwa toka kwa wakubwa wake,Je aliambiwa awe mkali sana na yeye amefanya kama alivyokabidhiwa?