RIZIKI JUMATATU
Member
- Jan 15, 2012
- 14
- 2
Jamani wadau naomba msaada wenu kuhusu huu uvumi wa Rais kutakakuvunja bunge.Je anauwezo wa kikatiba wa kufanya hivyo wakati wote wamechaguliwa na wananchi? na anaweza kufanya hivyo bila yeye kupoteza nafasi yake?