Kwa mfano: Je, Rais anaweza kuhama chama alichokuwepo na kuhamia chama kingine? Mfano Mheshimiwa Magufuli atangaze rasmi anajiunga na CHADEMA na kule Zanzibar Hussen Mwinyi anajiunga na ACT Wazalendo.
Nauliza tu inawezekana hata wengine hawafahamu kama nilivyo.
Nauliza tu inawezekana hata wengine hawafahamu kama nilivyo.