Je, Rais aliyepo Madarakani anaweza kutoa Ushahidi Mahakamani?

jimmy jeoff

Member
Jul 29, 2019
77
109
Wakuu salaam.
Nimejaribu kutafuta Google sikupata majibu zaidi ya kushauliwa nisome katiba.

Hivi kwa wajuzi naomba msaada RAISI WA TANZANIA ALIYEPO MADARAKANI anaweza kutoa ushaidi Mahakamani?

Nakumbuka Raisi Mkapa aliwai kutoa ushahidi Kisutu kwenye kesi ya Prof Mahalu. Lakini alikuwa private citizen hakuwa madarakani.

Napiga picha mara vuuh Mbowe ana kesi ya kujibu, je mawakili wanaweza kuomba mahakama Summonce ya kumuita mama ajieleze alikuwa na maana gani alipoitangazia dunia kupitia BBC kuna akina Mbowe walikuwa wamehukumiwa kufungwa.

Msaada tafadhali.
 
Mmimi sio mtaalamu wa sheria,lakini kwa kujibu kutokana na exp ya kuishi Tanzania, Rais hujiona yeye ndio serikali, yani serikali ni executive tu hivo basi kamwe hawezi kwenda mahakamani
 
Kama kuna kesi ya kujibu, lazima hii part ijadiliwe na ikiwezekana aende mahakamani kutoa ushahidi same as Serro na Boaz. Hii itasaidia sana huko mbeleni hawa Miungu watu wasiwewanaropokaropoka wakijua kuwa wako juu ya sheria ...!!
 
Wakuu salaam.
Nimejaribu kutafuta Google ckupata majibu zaidi ya kushauliwa nisome katiba...

FORGET ABOUT IT. Aliongea kama rais na si kama yeye binafsi - kumbuka aliyekuwa anahojiwa alikuwa Rais Samia na si Mama Samia( kama ambavyo mnamuita). Rais yuko protected, ataenda mtu toka ofsi ya wakili mkuu wa setikali I believe.
 
Hapana hawezi kwenda mahakamani.

Ibara ya 46 (1) Rais akiwa madarakani hawezi kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai.

Ibara ya 46 (2) Rais akiwa madarakani anaweza kushtakiwa kwa kesi ya madai kwa jambo atalolifanya akiwa katika hali ya kawaida (kama raia wa kawaida). Ila kuna utaratibu maalum wa kupeleka kesi ya madai dhidi yake.

Ibara ya 46 (3) Rais akiachia madaraka hatashitakiwa kwa jambo lolote lile ambalo alilifanya akiwa katika majukumu yake ya kazi.
 
Ikiwa Rais ana kinga ya kutokushtakiwa kwa maamuzi yote aliyoyafanya pale anapotoka madarakani, anapokuwa madarakani hapo kivuli cha madaraka yake ya kikatiba huifunika katiba, sheria na hata pia mhimili mzima wa mahakama.

Akifanya mazuri sifa na utukufu ni vyake, akifanya madudu ameahauriwa vibaya wasaidizi wake, kwa hiyo hao ndio wenye kupaswa kuwajibishwa.
 
Wakati mwingine fanya mambo yanayokunufaisha wewe moja kwa moja badala ya kuumiza akili kwenye jambo kama hili.

Be selfish mara moja moja familia yako ifurahie uwepo wako.
 
Kama kuna kesi ya kujibu, lazima hii part ijadiliwe na ikiwezekana aende mahakamani kutoa ushahidi same as Serro na Boaz. Hii itasaidia sana huko mbeleni hawa Miungu watu wasiwewanaropokaropoka wakijua kuwa wako juu ya sheria ...!!
 
Wakati huo leo kule Mozambique Rais mstaafu Dos Santos amepelekwa Mahakamani kujibu tuhuma za kuwepo kwa madeni yaliyokopwa kwa Siri wakati alipokuwa madarakani.
 
Ingewezekana ningechekaje Kibatala akimuuliza Mh raisi maswali siku tatu halafu Hangaya aombe kwenda haja
 
Labda kwa kuazima Katiba ya Nchi zilizo endelea. Ila kwa hii Katiba ya 1977, hilo sahau.
 
FORGET ABOUT IT. Aliongea kama rais na si kama yeye binafsi - kumbuka aliyekuwa anahojiwa alikuwa Rais Samia na si Mama Samia( kama ambavyo mnamuita). Rais yuko protected, ataenda mtu toka ofsi ya wakili mkuu wa setikali I believe.
Acha ujinga pumbavu Sana wewe hujui chochote na ndomana wakili kibatala na mallya wanarudia Sana swali fulani kwamashahidi waserikali ,mfano leo kibatala kafunga cross examination kwakumuuliza Shahid swila kwamba mpaka unafunga upelelezi wako kulikua tayari akina mbowe wamefungwa au kutolewa hukumu nakufumgwa ,shahidi akajib hapana........tatizo lakulaga ugari wamama ako na umri huo ,mama nishahidi muhimu endapo mbowe atakua nakesi yakujib
 
Back
Top Bottom