MtuHabari
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 321
- 1,019
Nimeuliza maana mie na wenzangu tunataka kutafuta wanasheria tufungue kesi mahakama kuu kupinga sheria hizi zilizopitishwa na bunge letu tokea kikao cha Januari hadi sasa.
Sababu ya msingi ya kuwa zimepitishwa ndani ya bunge ambalo lina wabunge ambao baadhi yao wapo kinyume na katiba na wanaendelea kuwepo kwa kiburi cha Spika huku mwanasheria mkuu wa serikali akiangalia na kuogopa kusema jambo kama vile Bunge ni chombo binafsi cha bwana Ndugai.
Msaada tafadhali!
Sababu ya msingi ya kuwa zimepitishwa ndani ya bunge ambalo lina wabunge ambao baadhi yao wapo kinyume na katiba na wanaendelea kuwepo kwa kiburi cha Spika huku mwanasheria mkuu wa serikali akiangalia na kuogopa kusema jambo kama vile Bunge ni chombo binafsi cha bwana Ndugai.
Msaada tafadhali!