Kuna situation una uchaguzi ... hapo fanya utakalo. Taka usitake kuna nyakati ATATIBIWA naye tu ..hakuna uchaguzi .. mkuu any hard feelings?Wakuu
Hivi kama wewe ni mwanaume na una rafiki yako ambae ni daktari wa kina
mama gynaecologist utaruhusu awe daktari wa mke wako?
Mie binafsi sikubali
kutibiwa na family member ama rafiki wa karibu. Its actually unethical,
labda malari na kuhara tu.
Honestly please ... naomba niambie kwanini ni unethical!?
Mie binafsi sikubali kutibiwa na family member ama rafiki wa karibu. Its actually unethical, labda malari na kuhara tu.
kuna siku ilitokea dr mmoja akawa anamfanyia.oeration mtoto ambae ni wa rafiki yake mpenzi n aliwasimamia ndoa na kumsimamia huyo mtoto ubatizo. Asubuhi akiwasili dr akaambiwa mtoto alidokoa kiazi asubuhi. Dr akamjibu mama usijali tutachelewesha operation. Yule mtoto alifariki kwa uzembe huo. Ilikuwa patashika, manake mama wa mtoto aliona dr alimfanyia makusudi (kwa sababu mama alimuambia kuhusu kula. Na dr alifanya kwa kumuhurumia mama.kulala another day hospitali bure kungojea operation. Wasingefahamiana wala asingejali.kuahirisha hivyo, sio?)
fikiria tension iliyopo kati ya familia hizi mbili. Tena wanaume mko understanding, mwanamke na mwanae ujue bifu litakuwa hadi kwa wajukuu! Unaharibu undugu na urafiki jumla.
Nimehisi mfano utaelewa zaidi. Lakini ni unethical kwa dr kumtibia mtu wake wa karibu. Umenielewa solution?
Well, binafsi pia niko shy na napenda privacy yangu. So hata kama nina shida ya nyonyo tu siwezi kutibiwa na rafiki wa mume ama ndugu. Japo niliwahi kutibiwa na rafiki wa kakangu na walikuwa hawajaonana for 15 years? Na najua hakuna kitakachotukutanisha tena wote watatu.
WEWE UNA MATATIZO GANI? NA WAWEZA KUTA ATA UYO DR ANAMPIGA MASHINE VILEVILE, PIA WADHANI ATA KM MKEO ANAKUWA AMEJISETILI MDA WOTE WAHISI TUTAMCHULIA KANA KWAMBA HANA MASHINE APO MBELE? IYO MASHINE ANAYO NA KILA MWEZI INABLID MIDAMU, CHOO ANAENDA NA MAKIMBA KIBAO ANAK***NYA, USIWE NA WASI YOTE AYO YAKO BAYANa, NYIE NDO MNAWAANIMISHA WATOTO KUWA MWANAMKE ANAENDA KUCHUKUA MTOTO HOSPITALI NA HAZAI THRU V****NA, KWENDA ZAKO NA MAMBO YAKO YA KIZAMANI
Wakuu
Hivi kama wewe ni mwanaume na una rafiki yako ambae ni daktari wa kina mama gynecologist utaruhusu awe daktari wa mke wako?
Unajua kiukweli kabisa, nilikuwa anshindwa ku connect hizi dots ... sikuwa naweza kuona kabisa ... lakini nafikiri reasoning yako ina mshiko ... kikubwa nilichoona hapo ni SUBJECTIVITY!! ... Kwa namna fulani Dr anapoteza objectivity kama ni mtu close naye ... anakuwa subjective ... kama hapo amekuwa subjective hadi hata kutoa allowance ya siku moja zaidi etc! My Dad is MD nashaangaa sana hata tukiwa wadogo ... mara nyingi hakuwa anatutibu ... anatupeleka kwa Dr mwingine kabisa ...sikuwa namuelewa, kuwa ukaribu saana una matatizo yake ..and never asked him ... Yeye mwenyewe mara nyingi hajitibu mwenyewe ...(Nafikiri hali kama hizi ndio zinapelekea jambo hili kuwa Unethical sio?)
Hii ni very interesting to ma heart alone ... kwa naman nasoma post zako ehh!!.. sioni kama uko this much shy!!! Lol!! nielewe ... ... Inapendeza!!!
Aaa wapi,Wakuu
Hivi kama wewe ni mwanaume na una rafiki yako ambae ni daktari wa kina mama gynaecologist utaruhusu awe daktari wa mke wako?
Mie binafsi sikubali kutibiwa na family member ama rafiki wa karibu. Its actually unethical, labda malari na kuhara tu.
WEWE UNA MATATIZO GANI? NA WAWEZA KUTA ATA UYO DR ANAMPIGA MASHINE VILEVILE, PIA WADHANI ATA KM MKEO ANAKUWA AMEJISETILI MDA WOTE WAHISI TUTAMCHULIA KANA KWAMBA HANA MASHINE APO MBELE? IYO MASHINE ANAYO NA KILA MWEZI INABLID MIDAMU, CHOO ANAENDA NA MAKIMBA KIBAO ANAK***NYA, USIWE NA WASI YOTE AYO YAKO BAYANa, NYIE NDO MNAWAANIMISHA WATOTO KUWA MWANAMKE ANAENDA KUCHUKUA MTOTO HOSPITALI NA HAZAI THRU V****NA, KWENDA ZAKO NA MAMBO YAKO YA KIZAMANI