Je, Rada zinashindwaje kuziona Drones?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mnachekesha sana
 
Teknolojia inapogunduliwa kuna watu wao kazi yao ni kuiovertake hiyo Teknolojia.Kwa hiyo Teknolojia ya Anga ndio inafanya Rada kufeli.High speed drones pia uwezo wa rada unatakiwa kuwa up to date.Pia anae controll rada anaweza kupitiwa na Usingizi au K-vant inamuathiri.Pia Drone za sasa zina uwezo wa kupiga tokea mbali na rada na kufikisha target yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu drone hazina spidi kubwa! Pia ni muhimu kujua jinsi rada inavyofanya kazi...
 
Iran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.

Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wa spidi ya mwanga!!! Tuwe makini kuchangia..
 
Hilo swala lipo hivi

Rada zinatambua vilivyo angani kwa kutuma mifumo miwili ambapo mmoja unatuma signal na mwingine unapokea signal hiyo iliyotumwa. (Kama tu mwangi unavyotokea kwa uwapo wa mdomo na masikio) signal hizo zinazotumwa na rada ni radio signal nikimaanisha zinasafiri katika speed inayokaribiana na speed ya mwanga. (Hapa ndipo utaona maana ya technology - kutumia uelewa wa mwangwi kufanyiza kifaa rada kutengenezwa)

Sasa ukitaka kifaa chako kisionekane na rada inabidi kiwe na property mbili muhimu
Moja
Kuwa na radio absobed material. Kwenye surface yake kuvyonza kadiri itakavyoweza radio wave vinazotumwa na rada hivyo kurudisha radio wave chache
Mbili
Kuwa na shape ambayo itaakisi mawimbi ya rada mbali na receiver za rada hivyo rada kutokusikia mawimbi kutoka kwa ndege

Hata hivyo kutokana na mbinu za kivita ndege hizi ambazo hazisomi kwenye rada huwa katika mission zinaambatana na ndege nyingine ambazo kazi yake ni kusoma mawimbi ya rada na kulipua mifumo hiyo kabda haijaweza otea ndege hizi au drone.
Afadhali.....umeandika ilivyo
 
Radar zinajamishwa (jammed) au "drones" au ndege yoyote ile inaweza kurushwa ukawa fulani ambapo "radar" hai detect. Au zinaweza kutumika teknolojia za material ambazo radar signals hazi bounce, zinapitiliza, au hurushwa vifaa ambavyo huichanganya mifumo ya radar.

Nakushauri anza kwa kusoma na kuelewa "radar" zinafanyaje kazi kisha soma kuhusu "anti radar" labda utaelewa kinachofanyika.

Ukawa = usawa.
Huko shule ulienda kusomea ujinga?
 
Iran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.

Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndugu yangu. Kulingana na nadharia ya Relativity ya Albert Einstein (na ukweli unaokubalika na wanasayansi wote) hakuna kitu kinachoweza kuwa na spidi zaidi ya mwanga. Ile kutengeneza kitu kinachoweza kufikia spidi ya mwanga tu ni kama vile haiwezekani kwa sababu ukikaribia kufikia spidi ya mwanga hicho kitu kitakuwa na infinite mass na utahitaji infinite energy pia kuweza kuendelea kukisukuma. Tukifikia hapa tunaanza kuongelea mambo ya time travel, time warping, wormhole...mambo ambayo kwa sasa bado ni science fiction tu.

Hapo juu umetia sana mubaalagha mkuu kuhusu spidi ya hizo ballistic missile za Warusi
 
Iran miezi michache nyuma wali fanikiwa ku- intercept drone ya US.iliyosaiwa kufanya ujasusi kwa kuingia anga ya Iran.

Tusubiri hii silaha mpya(supersonic ballistic missile ) iliyozinduliwa juzi na Russia INA speed kuliko mwanga iwapo INA weza ika be detected na radar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani utakuwa umechanganya na speed ya sauti na si mwanga Mkuu. So far hakuna kitu chenye speed Kali kwasasa kuushinda mwanga. Kama vingekuwepo basi binadamu tungekuwa tushazitembelea sayari zote kwenye solar system yetu.
 
SENSOR zipo za aina nyingi lakini nizijuazo mm ni hizi hapo

1.SONAR= hii inafanya kazi ya kudetect sauti tu
2.LIDAR=hii inadetect leser light.
3.RADAR=hii inadetect light (β€’long-wavelength microwaves (e.g., 3 – 25 cm) through the atmosphere and then recording the amount of energy back-scattered from the terrain )

SASA NGOJA TUIZUNGUMZIE RADAR ULIYOIULIZA WEWE.

kuna vitu vingi huwa vinazingatiwa ili radar iweze kudetect drone/ndege
1579962912746.png

1.Light emmited by drone
rangi ya drone kama inatoa miale ya mwanga kwa maana ya kuabsorb light au kureflect light kama ina absorb haitaweza kuonekana kwa uraisi coz rada ina fanya kazi ya kutafsiri kile kinachoingia
2.Angle ya radar namna ilivyotegwa
depression angle lazima iwe nyuzi 45 na kuendelea cozi ikiwa nyuzi 0 huwezi kuona drone, kuna namna radar ikitegwa ile miale ya mwanga kutoka kwa drone haifiki kwenye radar na kupotea hivyo radar inakuwa haijadetect kitu
3.Height kutoka kwenye radar mpka kwenye drone
kadili umbali unapoongezeka kutoka kwenye radar mpka kwenye drone na ndio uwezo wa radar unapungua kutafsili hiyo object, miale mingi inapotea angani hivyo haifiki kwenye radar ili itafsiliwe.
1579962570794.png

4.smooth and rough of drone
drone ikiwa na body smooth ni ngumu kuwa detected coz zile light zikipiga kwenye drone zinakuwa passed away but zikiwa rough zinapiga na kurud kwenye radar na kutafsiliwa

1579964113247.png
 
System ya mawasiliano ya ulizi toka kila nchi inatolewa kwa nchi nyingine baada ya nchi hiyo kugundua mfumo mwingie wenye uwezo zaidi ya ule wa awali

Haingii akili nchi ikafanya system mpya na kuitoa mapema kabla ya kupata nyingine mbadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah kweli ujinga ni ugonjwa...eti INA speed kuliko mwanga hahahahahahhahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
Mwanangu wa darasa la 3 mwenyewe humdanganyi kitoto hivi
Russia walitangaza Wana silaha inayokwepa kila kikwazo angani na ardhini ,cjawaskia tena ila wamekuja na hiyo speed kuliko mwanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom