GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,443
Ila tuacheni Utani Jamaa Mr. Alcohol yuko ' Fiti ' nadhani hata Kunishinda Mimi Kijana ( BaruBaru ) GENTAMYCINE na sikuweza kujua kuwa kumbe Mazoezi anayo na huenda akawa anayafanya 24/7. Hongera zake sana kwa hilo. Ila Swali langu ni dogo tu hivi kama ile ' Pushapu ' ya mwisho ambayo nilikuwa naona kama vile inaenda Kumshinda ( Kumdindia ) hivi ingetokea angelala pale pale ( angefloti ) Kosa lingekuwa la nani Kiitifaki?
Na Wewe popote pale ulipo sasa hebu Piga ' Pushapu ' Kumi hapo ulipo umjibu Mr. Alcohol wetu.
Na Wewe popote pale ulipo sasa hebu Piga ' Pushapu ' Kumi hapo ulipo umjibu Mr. Alcohol wetu.