Je, punyeto inaweza kupelekea kupata ungonjwa wa ngiri?

Kama ngiri unayoongelea unamaanisha Hernia.
Basi punyeto haiwezi kusababisha ngiri.
 
Jamani mwenye ujuzi naomba msaada.

Hari ya mapumbu (korodani) kuuma ni dalili ya ngili?
Korodani kuuma ni dalili ya ugonjwa wangiri ya mshipa aka ngii ya kushuka chini . Nakupiga Punyeto pia kuna changia upatwe na hayo maradhi ya ngiri. Ikiwezekana acha kupiga punyeto. ujiondowe katika chama cha kupiga Punyeto Tanzania kw akifupi kinaitwa (Chaputa).
 
Korodani kuuma ni dalili ya ugonjwa wangiri ya mshipa aka ngii ya kushuka chini . Nakupiga Punyeto pia kuna changia upatwe na hayo maradhi ya ngiri. Ikiwezekana acha kupiga punyeto. ujiondowe katika chama cha kupiga Punyeto Tanzania kw akifupi kinaitwa (Chapuwata).
Ngiri in changia kupunguza uwezo wa uume kusimama barbara .!??
 
PUNYETO ukiifanya kwa pupa na sifa huchangia maradhi ya mfumo wa akili mfumo wa uzazi na mfumo wa mkojo kwa mwanaume

Ila punyeto ukiifanya kwa Ustadi ujuzi na uturivu
agharabu mara 1 au 2 Kwa wiki
(Recommended mara 1)
Husaidia kuukuza uume kuwa mkubwa
Kuufanya kuwa strong
Kuchelewa kupiga bao na husaidia pia kufanya huweze kumudu tendo kwa raundi ya kwanza kwenda muda mrefu na kutochelewa kurudia raudi ya pili
Yote hayo yanawezekana ukiwa unafanya SAFE PUNYET0
 
PUNYETO ukiifanya kwa pupa na sifa huchangia maradhi ya mfumo wa uzazi na mfumo wa mkojo kwa mwanaume

Ila punyeto ukiifanya kwa Ustadi ujuzi na uturivu
agharabu mara 1 au Kwa wiki
Husaidia kuukuza uume
kuwa strong
Kuchelewa kupiga bao na husaidia pia kufanya huweze kumudu tendo kwa raundi ya kwanza kwenda muda mrefu na kutochelewa kurudia raudi ya pili
Yote hayo yanawezekana ukiwa unafanya SAFE PUNYET0
una akili kubwa sana wewe
 
Jamani mwenye ujuzi naomba msaada.

Hari ya mapumbu (korodani) kuuma ni dalili ya ngili?

Ukizungumzia ngiri, kuna aina mbili:
1: Ngiri Kavu
2: Ngiri maji

Zote huweza kuwa na matokeo ya maumivu au kutokuwa na maumivu kulingana na hali husika.

A: Ngiri kavu
Ni matokeo ya vitu vilivyoko tumboni kuweza kupata nafasi ya kujipenyeza na kufuata njia kwenda mpaka kwenye kende au kutokufika huko na kubaki uwezo wa kuingia na kutoka kwenye upenyo husika. Ili kupata hali hii vitu viwili huusika:
1: Kuwepo hali ya kutokuwa imara kwa eneo husika
2: Kuongezeka kwa presha kutoka tumboni.

Ukiangalia hapa punyeto haina nafasi katika hivyo viwili.

B: Ngiri maji
Hujitokeza pale ambapo uwezo wa uzalishaji wa majimaji kwenye kende huzidi uwezo wa kuondoa majimaji husika au mzunguko wa upande mmoja kuzidi upande mwingine.

Ukiangalia hapa punyeto haina nafasi yoyote kusababisha hilo.

Ingawa majibu haya hayafanyi punyeto kuwa suala jema.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom