seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Hawa ni Wasomi kutoka Stanford University na mungine Harvard University
Prof Lipumba, Huyu ameishi Stanford University na Kufundisha hapo, Gharama za kusoma chuo hicho ni zaidi ya dollar za kimarekani 55,000 kwa mwaka mmoja sawa na pesa za kitanzania zaidi ya Milioni 120 kwa mwaka mmoja.
Kupata nafasi Stanford ni kazi ngumu mpaka sasa, Kwa watu wote wanaoomba na ambao wanarekodi nzuri za kitaaluma ni asilimia 8‰ tu wanapata nafasi hizo Katika walioomba kutokana na mchujo mkali . Hiki ni chuo ambacho mpangilio wa" Internet " yaani architecture of Internet ulivumbuliwa, Deoxynubleic Acid(DNA) ilivumbuliwa hapa Stanford university
Prof Lipumba, Huyu ni nguli na ameondoka hapo Stanford University moja kati ya wanafunzi bora wa Economics
Je, Prof Lipumba amelisaidia Taifa? Kuna umuhimu gani wa kupeleka watu nje Halafu hawatoi mchango kwa kile walichojifunza
Je, Siasa ndio inarudisha nyuma mchango wa Wasomi hawa kama Prof Lipumba?
Kwanini tunapoteza muda kupitia mitaala ya elimu kama baadhi ya watu waliosoma vyuo bora wanaitwa wasaliti ndani ya Taifa lao
Mheshimiwa, Andrew Chenge. Huyu ni nguli wa sheria na msomi toka Harvard University
Andrew Chenge amepata umaarufu sio kwa mambo mazuri bali kwa kutumia akili zake na Penseli kufinyanga mambo na kujitapa kuwa, Yeye havunji wala haibi kwa nguvu bali anatumia Penseli na Pen tu kukwapua mali.
Mvumbuzi wa Facebook alipita hapa Harvard na akaacha chuo hapa baada ya kupata wazo akiwa hapo.
Leo Serikali inajadili habari za kubadili mitaala ya shule iwe ya kisasa kama Marekani na uingereza wakati watu waliosoma huko hatuoni faida yake
Je, Chenge ametuangusha kama Taifa au Siasa ndio zinaharibu?
Je, mitaala ikifanyiwa marekebisho hivyo hakutakuwa tena na watu kukanyaga katiba kama wale wabunge feki 19 wa Chadema bungeni.
Je, mitaala ikafanyiwa marekebisho watu wataacha kuamini nyungu na kuamini Sayansi, Mbona Wasomi hao ndio walikuwa wa kwanza kujenga chumba cha kupiga nyungu hospitali kuu ya Taifa.
Prof Lipumba, Huyu ameishi Stanford University na Kufundisha hapo, Gharama za kusoma chuo hicho ni zaidi ya dollar za kimarekani 55,000 kwa mwaka mmoja sawa na pesa za kitanzania zaidi ya Milioni 120 kwa mwaka mmoja.
Kupata nafasi Stanford ni kazi ngumu mpaka sasa, Kwa watu wote wanaoomba na ambao wanarekodi nzuri za kitaaluma ni asilimia 8‰ tu wanapata nafasi hizo Katika walioomba kutokana na mchujo mkali . Hiki ni chuo ambacho mpangilio wa" Internet " yaani architecture of Internet ulivumbuliwa, Deoxynubleic Acid(DNA) ilivumbuliwa hapa Stanford university
Prof Lipumba, Huyu ni nguli na ameondoka hapo Stanford University moja kati ya wanafunzi bora wa Economics
Je, Prof Lipumba amelisaidia Taifa? Kuna umuhimu gani wa kupeleka watu nje Halafu hawatoi mchango kwa kile walichojifunza
Je, Siasa ndio inarudisha nyuma mchango wa Wasomi hawa kama Prof Lipumba?
Kwanini tunapoteza muda kupitia mitaala ya elimu kama baadhi ya watu waliosoma vyuo bora wanaitwa wasaliti ndani ya Taifa lao
Mheshimiwa, Andrew Chenge. Huyu ni nguli wa sheria na msomi toka Harvard University
Andrew Chenge amepata umaarufu sio kwa mambo mazuri bali kwa kutumia akili zake na Penseli kufinyanga mambo na kujitapa kuwa, Yeye havunji wala haibi kwa nguvu bali anatumia Penseli na Pen tu kukwapua mali.
Mvumbuzi wa Facebook alipita hapa Harvard na akaacha chuo hapa baada ya kupata wazo akiwa hapo.
Leo Serikali inajadili habari za kubadili mitaala ya shule iwe ya kisasa kama Marekani na uingereza wakati watu waliosoma huko hatuoni faida yake
Je, Chenge ametuangusha kama Taifa au Siasa ndio zinaharibu?
Je, mitaala ikifanyiwa marekebisho hivyo hakutakuwa tena na watu kukanyaga katiba kama wale wabunge feki 19 wa Chadema bungeni.
Je, mitaala ikafanyiwa marekebisho watu wataacha kuamini nyungu na kuamini Sayansi, Mbona Wasomi hao ndio walikuwa wa kwanza kujenga chumba cha kupiga nyungu hospitali kuu ya Taifa.