GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,789
Kama kuna tabia mbaya ambayo siku hizi imezoeleka na naona kila siku inazidi tu Kujizolea ' Umaarufu ' kama siyo Kushika Kasi pia ni hii ya Wanaume wengi wanaomiliki Vyombo vya Usafiri ( Magari ) kuyatumia kama Gesti / Loji zao ambapo ' hulala ' na Wanawake humo.
Siku hizi ukipanda tu Magari Matatu kati ya Matano ya Wanaume lazima tu utakaribishwa na ' harufu ' za Mbunye ( Uke ) na kuna muda kama ukiwa ni Mtu wa Kushikwa na Kichefuchefu au mwepesi kuona ' Kinyaa ' unaweza ' ukatapika ' pia. Magari yananukia tupu hadi Kero.
Hivi Jeshi la Polisi limeshindwa kabisa kulivalia Njuga hili tatizo? Binafsi haipiti siku hata moja au mbili katika pita pita zangu iwe mchana au usiku nisikutane na Gari moja mbili tatu zikiwa ' zinatikisika ' Kunakotukuka huku kwa ndani Viti vikiwa vimelazwa ambapo ' ukikaza ' vizuri macho utakutana na ' Chupi ' inakusalimia ' Shikamoo ' kwa dirishani huku Mgongo wa Mwanaume ukiwa unaibuka na kuzama utadhani Mamba wa Mto Ruaha wakiwa wanatafuta ' Kitoweo ' chao cha Siku.
Halafu na nyie Dada zangu leo nawatoleeni Uvivu hivi inakuwaje Mwanamke mzima unakubali Kuuza Utu wako na Kuvuliwa ' Chupi ' na Kupindwapindwa ndani ya Gari ' Kubanduliwa ' huku mkiishia hadi kuharibu Vifaa vingine vilivyomo ndani ya hayo Magari kutokana na Utamu na ' Mikuyenge ' mnayokutana nayo?
Nawaomba Polisi Tanzania mliangalie hili kwa umakini wenu mkubwa kwani linadhalilisha mno Utu wa Mwanamke na Maadili mema ya Mtanzania. Inakuwaje Mwanaume mzima unamiliki Gari la Mamilioni Tsh 30,000/= tu au basi Tsh 15,000/= ya kwenda Kulipia Gesti / Loji ' ukambandue ' vizuri Mpenzi wako inakushinda?
Wengine mnavyokuwa ' mnakanyagana ' katika hayo Magari yenu huwa mnatupa ' Midadi ' na Kutupandisha ' Nyege ' zisizo la lazima na kuna uwezekano sasa na Mimi GENTAMYCINE huko mbele ya safari kama nikikutana tena na hii ' Kitu ' nikamkamata Mtu au hata nikaomba ' Kolabo ' ili tumalizane vizuri.
Kuna Mtu nimemuona leo maeneo ya ' Beach ' fulani ( jina Kapuni ) alikuwa ' anambandua ' Mwanamke wa Watu na nikiri tu tokea nizaliwe takribani miongo mitatu hii sijawahi kuona Mwanamke akiwa ' amekunjwa ' kama ambavyo nimemuona leo na nina uhakika mwenye Mume / Mpenzi kama angeona basi kuna mawili ama angejiua au angua Mtu. Manake Kichwa cha Mwanamke kilikuwa kimeangalia Mashariki, Miguu imeelekwa Kusini, sehemu yote ya Tumbo ikiwa imejipinda kwa juu utadhani Jeki ya FIAT huku mikono yote miwili ya yule Mwanamke ikiwa imeshikilia Dirishani. Nadhani hii ' Style ' itakuwa ni mpya au ni ya Kipekee kabisa kwa Kizazi hiki.
Nawasilisha.
Siku hizi ukipanda tu Magari Matatu kati ya Matano ya Wanaume lazima tu utakaribishwa na ' harufu ' za Mbunye ( Uke ) na kuna muda kama ukiwa ni Mtu wa Kushikwa na Kichefuchefu au mwepesi kuona ' Kinyaa ' unaweza ' ukatapika ' pia. Magari yananukia tupu hadi Kero.
Hivi Jeshi la Polisi limeshindwa kabisa kulivalia Njuga hili tatizo? Binafsi haipiti siku hata moja au mbili katika pita pita zangu iwe mchana au usiku nisikutane na Gari moja mbili tatu zikiwa ' zinatikisika ' Kunakotukuka huku kwa ndani Viti vikiwa vimelazwa ambapo ' ukikaza ' vizuri macho utakutana na ' Chupi ' inakusalimia ' Shikamoo ' kwa dirishani huku Mgongo wa Mwanaume ukiwa unaibuka na kuzama utadhani Mamba wa Mto Ruaha wakiwa wanatafuta ' Kitoweo ' chao cha Siku.
Halafu na nyie Dada zangu leo nawatoleeni Uvivu hivi inakuwaje Mwanamke mzima unakubali Kuuza Utu wako na Kuvuliwa ' Chupi ' na Kupindwapindwa ndani ya Gari ' Kubanduliwa ' huku mkiishia hadi kuharibu Vifaa vingine vilivyomo ndani ya hayo Magari kutokana na Utamu na ' Mikuyenge ' mnayokutana nayo?
Nawaomba Polisi Tanzania mliangalie hili kwa umakini wenu mkubwa kwani linadhalilisha mno Utu wa Mwanamke na Maadili mema ya Mtanzania. Inakuwaje Mwanaume mzima unamiliki Gari la Mamilioni Tsh 30,000/= tu au basi Tsh 15,000/= ya kwenda Kulipia Gesti / Loji ' ukambandue ' vizuri Mpenzi wako inakushinda?
Wengine mnavyokuwa ' mnakanyagana ' katika hayo Magari yenu huwa mnatupa ' Midadi ' na Kutupandisha ' Nyege ' zisizo la lazima na kuna uwezekano sasa na Mimi GENTAMYCINE huko mbele ya safari kama nikikutana tena na hii ' Kitu ' nikamkamata Mtu au hata nikaomba ' Kolabo ' ili tumalizane vizuri.
Kuna Mtu nimemuona leo maeneo ya ' Beach ' fulani ( jina Kapuni ) alikuwa ' anambandua ' Mwanamke wa Watu na nikiri tu tokea nizaliwe takribani miongo mitatu hii sijawahi kuona Mwanamke akiwa ' amekunjwa ' kama ambavyo nimemuona leo na nina uhakika mwenye Mume / Mpenzi kama angeona basi kuna mawili ama angejiua au angua Mtu. Manake Kichwa cha Mwanamke kilikuwa kimeangalia Mashariki, Miguu imeelekwa Kusini, sehemu yote ya Tumbo ikiwa imejipinda kwa juu utadhani Jeki ya FIAT huku mikono yote miwili ya yule Mwanamke ikiwa imeshikilia Dirishani. Nadhani hii ' Style ' itakuwa ni mpya au ni ya Kipekee kabisa kwa Kizazi hiki.
Nawasilisha.