Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Ndugu zangu watanzania;
UTANGULIZI: Kwa msio nifahamu mimi Infantry Soldier ni mkristo ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na wala waislamu si magaidi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda ugaidi na kuua watu.
Uislamu ni dini safi tena ya watu waungwana sana inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo.
BACK TO THE TOPIC: Naomba kujibiwa swali langu kama kichwa cha thread hii kinavyouliza. Polisi kwenye nchi za kiislam kuna vikosi vya mbwa? Kama jibu ni ndio, ni kwanini wakati mbwa ni haram?
Naomba swali hili lisipinduliwe na kuwa mjadala wa kidini baina ya dini kuu mbili watu wakaanza kutukanana. Sisi watanzania bado ni wamoja licha ya tofauti zetu za kidini, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii. Asante Mungu.
Naomba kwa mwana JF anayejua kuhusu hili atuelimishe. Kama aliwahi kuishi katika nchi ambazo ni jamuhiri za kiislam itakuwa ni vema zaidi.
Thanks in advance.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu watanzania;
UTANGULIZI: Kwa msio nifahamu mimi Infantry Soldier ni mkristo ila ninafahamu fika ya kuwa uislamu si ugaidi na wala waislamu si magaidi bali wahalifu wachache hujificha katika kivuli cha uislamu ili kutenda ugaidi na kuua watu.
Uislamu ni dini safi tena ya watu waungwana sana inayohubiri amani na upendo kama ilivyo dini ya kikristo.
BACK TO THE TOPIC: Naomba kujibiwa swali langu kama kichwa cha thread hii kinavyouliza. Polisi kwenye nchi za kiislam kuna vikosi vya mbwa? Kama jibu ni ndio, ni kwanini wakati mbwa ni haram?
Naomba swali hili lisipinduliwe na kuwa mjadala wa kidini baina ya dini kuu mbili watu wakaanza kutukanana. Sisi watanzania bado ni wamoja licha ya tofauti zetu za kidini, kiuchumi, kisiasa na hata kijamii. Asante Mungu.
Naomba kwa mwana JF anayejua kuhusu hili atuelimishe. Kama aliwahi kuishi katika nchi ambazo ni jamuhiri za kiislam itakuwa ni vema zaidi.
Thanks in advance.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.