Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 637
- 1,901
Peter Msigwa ulisimamia haki, Hukuogopa vikao vya familia na undugu wako na Hayati Rais Magufuli.
Moja kati ya watu ambao wangeamua kuwa na kiburi basi ni Peter Msigwa angeweza fanya kiburi. Na hata angehamia CCM ndugu yake Magufuli angekupitisha Iringa mjini bila kupingwa.
Hata ndugu yako Gerson Msigwa wa Ikulu pale alipojifanya familia imekaa kikao Ikulu na kuamua wewe wakuchangie pesa utoke mahabusu, ulisimamia haki.
Ingawa Rais Magufuli ndie aliyekuwa mwenyekiti wa vikao vyenu vya undugu hukumuogopa kusema Bungeni hata mtaani.
Hata pale Magufuli alipotaka kuweka coverage kwa kukuchangia pesa ya dhamana bado ulikataa kupanda gari za CCM alizokuja nazo Humprey Polepole.
Ni watu wachache sana Tanzania wanaweza kataa undugu na mtu ambaye ni Rais wa nchi.
Hongera Peter Msigwa, Uliweza kutofautisha mambo ya undugu wako na Magufuli na kuamua kusimamia haki.
Hukusita kumpa Magufuli ukweli wake mchungu bila hofu ya wanafamilia na undugu wenu.
Moja kati ya watu ambao wangeamua kuwa na kiburi basi ni Peter Msigwa angeweza fanya kiburi. Na hata angehamia CCM ndugu yake Magufuli angekupitisha Iringa mjini bila kupingwa.
Hata ndugu yako Gerson Msigwa wa Ikulu pale alipojifanya familia imekaa kikao Ikulu na kuamua wewe wakuchangie pesa utoke mahabusu, ulisimamia haki.
Ingawa Rais Magufuli ndie aliyekuwa mwenyekiti wa vikao vyenu vya undugu hukumuogopa kusema Bungeni hata mtaani.
Hata pale Magufuli alipotaka kuweka coverage kwa kukuchangia pesa ya dhamana bado ulikataa kupanda gari za CCM alizokuja nazo Humprey Polepole.
Ni watu wachache sana Tanzania wanaweza kataa undugu na mtu ambaye ni Rais wa nchi.
Hongera Peter Msigwa, Uliweza kutofautisha mambo ya undugu wako na Magufuli na kuamua kusimamia haki.
Hukusita kumpa Magufuli ukweli wake mchungu bila hofu ya wanafamilia na undugu wenu.