johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,796
- 141,694
Najua Wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!