Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,553
- 112,496
Katibu awe Gwajima, mwenezi awe makonda.... Inakua chupa imepata mfuniko.
Daah sijuhi nawaza nini lakini mara paap Bashite anakuwa Katibu wa ccm au anachukua nafasi ya H. Pole pole...Najua Wapinzani hawatafurahia swali hili lakini chini ya jua lolote linawezekana.
Nawaona komredi Polepole na ndugu Makonda wakipiga jalamba kurithi mikoba ya Dr Bashiru aliyehamia Ikulu kama Katibu mkuu kiongozi.
Kwa mbali namuona Dkt. Mwigullu Nchemba naye anatroti.
Ufipa kaeni chonjo msiyempenda anaweza kuja.
Maendeleo hayana vyama!