KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi naomba kuuliza Hivi kutokana na hali yakisiasa baada ya uchaghuzi je inahitajika kuwepo na serikali ya kitaifa??endapo pale chama kitashinda kwa ukaribu zaidi yakilichoshinda??ili hata waliopiga kula kwa chama ambacho hakikushinda wapate haki??
Msaada wenu wa mawazo
Msaada wenu wa mawazo