Benard kombe
Senior Member
- Jul 15, 2012
- 138
- 41
nina elimu ya kidato cha nne niliajiliwa kama mwalimu wa shule ya msingi mwaka 2008 baada ya kuona hailipi nikaachana nayo mwaka 2010.nikaamua kusafisha cheti bahati mbaya mwaka 2010,2011 matokeo yalikuwa siyo mazuri.
swali langu ni kwamba je nikiamua kusoma foundation kozi open university inaweza nisaidia nikafikia malengo angalau ya kupata hata digrii moja.sitaki kulisiti tena
kwa sasa nafundisha shule binafsi.
swali langu ni kwamba je nikiamua kusoma foundation kozi open university inaweza nisaidia nikafikia malengo angalau ya kupata hata digrii moja.sitaki kulisiti tena
kwa sasa nafundisha shule binafsi.