SIERA
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,779
- 3,401
Waliosamehewa Kodi ya nyumba ni wamiliki, watakaolipa ni wapangaji. Hii nchi imekosa watafiti kwa kweli.
Wamiliki wa nyumba wanaweza kuwa asilimia 30 tu nchini waliobaki ni wapangaji na wanalazimika kujilipia umeme
Unampelekea deni mwenye nyumba unamkusanyia