Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,141
- 45,808
kuna picha nimeipata huko mitandaoni inaonyesha rais wa kwanza wa tanganyika akiwa mbele ya train yenye nembo ya rais,
kwa mujibu wa taarifa,picha hiyo imepigwa kwenye reli ya kigoma miaka ya 1960's
sasa nikajiuliza je wakati wa nyerere alikua na official train kama moja ya usafiri wake kama walivokuwa marais wengi wa wakati huo ? na je hiyo train ipo wapi sasa ?
kwa mujibu wa taarifa,picha hiyo imepigwa kwenye reli ya kigoma miaka ya 1960's
sasa nikajiuliza je wakati wa nyerere alikua na official train kama moja ya usafiri wake kama walivokuwa marais wengi wa wakati huo ? na je hiyo train ipo wapi sasa ?