mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,395
- 3,197
Pia nadhani ni kosa kisheriaShukrani sana kumbe wale wanaonunua hela mbovu wanapiga pesa sana......Maana unatoa Buku bovu kwa jero.
Pia nadhani ni kosa kisheriaShukrani sana kumbe wale wanaonunua hela mbovu wanapiga pesa sana......Maana unatoa Buku bovu kwa jero.
Mitaani pia kuna machinga hupita kununua noti chakavu hawa ndio hasa wanaosaidia watu sana mitaani uswahilini sababu hukufuata ulipoBank ya Posta nimeona kuna dirisha maalum la kupokea na kubadilisha Pesa chakavu.
Nao ni biashara nzuri kwao, nadhani na wao wanatumia fursa kama hiyo ya kuzipeleka kwenye madirisha kama hayo ya Posta na kujiingizia kipato.Mitaani pia kuna machinga hupita kununua noti chakavu hawa ndio hasa wanaosaidia watu sana mitaani uswahilini sababu hukufuata ulipo
Kambaku mdau kakujibia swali lakoUnapewa nusu ya pesa mkuu
Niliuziwa laki mbili iliyoliwa na panya pale feri kwa elfu 80 nilienda BoT katika hizo pesa noti nne zilikuwa namba zipo upande mmoja tu kwa hiyo nilichukua laki na 80
Kuna dirisha maalumu kwa pesa chakavu pale
Sent using Jamii Forums mobile app