ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Matapeli hawa na sielewi kwanini wameruhusiwa kuuza hisa na kukusanya zaidi ya Billion 5. Wanadai wamelima na kuvuna, lakini hawataki kulipa wakulima wao. Cha kushangaza naskia hata kwenye hio App yao ya kuuzia chakula, chakula hakuna. Ukute hata hawajalima geresha tu.
Wanachukua pesa za watu alafu hawataki kulipa. Wafanyakazi wakiulizwa hawana majibu, ukimfata Mkurugenzi anaku'block.
Hawa watu watakiwa kukamatwa mapema kabla ya majanga walokutana nayo watu kwenye Mr Kuku.
Wanachukua pesa za watu alafu hawataki kulipa. Wafanyakazi wakiulizwa hawana majibu, ukimfata Mkurugenzi anaku'block.
Hawa watu watakiwa kukamatwa mapema kabla ya majanga walokutana nayo watu kwenye Mr Kuku.