Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Maelezo Kwa Kiswahili
Habari njema kwa wafanyabiashara mliokuwa mnapata changamoto juu ya namna bora ya kusimamia biashara zenu.
Adiuta Business Assistant ni Mfumo unaokusaidia kusimamia fedha za biashara yako kwa kukuwezesha kujua mapato, matumizi, mali na madeni ya biashara yako.
Iwe ni biashara ndogo ya kuuza vifaa, duka la dawa, au iwe kampuni ndogo, ya kati au kubwa, Adiuta inakuwezesha kupata picha halisi ya biashara yako na kukuwezesha kufanya maamuzi bora. Baadhi ya faida za kutumia Adiuta Business Assistant ni:
Je Ninaipataje?
Ni rahisi sana. Wasiliana nasi kwa mawasiliano yafuatayo
Piga: 0673651520 au 0767893474
WhatsApp Tuchati: 0767893474
Instagram: adiuta_biz
Ninatumia programu nyingine, Ninawezaje kuhama?
Kama unatumia Programu nyingine na ungetaka kuhamia Adiuta, tutakusaidia namna bora ya kuhamia na kila inapowezekana, tutakusaidia kuhamisha data zako. Wasiliana nasi kwa taarifa zaidi.
Karibuni sana tuwahudumie kwa viwango na ubora uliotukuka. Mafanikio yako ni ya msingi sana!
Habari njema kwa wafanyabiashara mliokuwa mnapata changamoto juu ya namna bora ya kusimamia biashara zenu.
Adiuta Business Assistant ni Mfumo unaokusaidia kusimamia fedha za biashara yako kwa kukuwezesha kujua mapato, matumizi, mali na madeni ya biashara yako.
Iwe ni biashara ndogo ya kuuza vifaa, duka la dawa, au iwe kampuni ndogo, ya kati au kubwa, Adiuta inakuwezesha kupata picha halisi ya biashara yako na kukuwezesha kufanya maamuzi bora. Baadhi ya faida za kutumia Adiuta Business Assistant ni:
- Kupata picha ya Mapato, Matumizi na Madeni kwa kipindi chochote cha biashara yako. Hii inakuwezesha kujua wapi pa kupunguza matumizi na wapi pa kuongeza nguvu kwenye mapato na madeni unayodai na kudaiwa.
- Kwa biashara zinazojihusisha na uuzaji wa bidhaa, Adiuta inakupa ripoti ya kuonesha mauzo yako kwa bidhaa. Hapa inakupa picha ya bidhaa zinazotoka sana na zinazochelewa ili kukusaidia kuamua kwenye kuagiza mzigo wako.
- Rekodi miamala yako yote ya Benki kwa urahisi, na pata ripoti za mapato na matumizi kwa kila akaunti yako: Iwe ni MPesa, TigoPesa, AIRTEL Money, n.k na upate ripoti ya fedha iliyoingia na kutoka kwa kila akaunti
- Tumia kwenye Simu yako ya Kiganjani. Ukiwa na Adiuta unaweza kufanya mambo yote Muhimu kwenye simu yako ya mkononi.
- Kwa Makampuni unaweza kufanya mambo ya kihasibu kwa kutumia Adiuta, vitu kama Charting Accounts, Invoicing, Bills, Assets Register and Depreciation, na Manual Journals. Pia unapata standard reports kama Balance Sheet, Income Statement na nyingine nyingi.
- Kuweza kuwatumia Invoices wateja wako, ukiwa kwenye kompyuta ama simu. Hii inakusaidia kufanya kazi kwa uharaka na kuongeza ufanisi
- Kuandika Bills za kila matumizi hivyo kuweza kujua Matumizi yako na yanatumika zaidi wapi. Hii inakusaidia kujua matumizi ya kupunguza ili kuongeza faida.
- Kurekodi Miamala kwenye akaunti za kibenki (Benki, MPESA, TIGOPESA, AIRTEL MONEY et al) na kufanya reconcilliation ya statement ya benki dhidi ya System. Adiuta ina auto match algorithm inayokusaidia kutambua miamala toka kwenye Bank Statement hivyo kukurahisishia kazi ya kufanya "reconcilliations"
- Kujua madeni unayodai na unayodaiwa, yale ambayo yapo ndani ya muda na yale ambayo yamepita muda wake wa kulipwa
- Kuweza kuwa na rekodi ya mali zako, thamani zake na muda wa mwisho wa matumizi (Asset register and depreciation)
- Kupata report za kihasibu ambapo zitarahisisha kujua faida, hasara, mali, madeni na kurahishisha ukaguzi wa ndani na nje
- Kuepuka kuibiwa kwa kuwa Adiuta inafuatilia bidhaa tangu inapoagizwa (Purchase order) Inapopokelewa na inapouzwa.
- Kujua Mahesabu ya biashara yako kwa ripoti zetu nyingi hivyo kufanya maamuzi ukiwa na taarifa.
- Kuepuka kupoteza vitu kwa kuharibika (Expired Items). Adiuta ina namna inayokusaidia kuuza vitu kwa namna ambayo utauza kwanza vinavyokaribia kuisha muda wake kabla ya vile vinavyo haribika kipindi kirefu kijacho.
- Kuendesha kampuni kisasa na kwa ubora. Huwezi kuongoza biashara karne ya 21 bila taarifa za kifedha za biashara yako.
- Kuendesha biashara popote ulipo duniani. Ukiwa na Adiuta unaweza kufanya kazi popote ulipo. Upo ofisini? Unaweza kutumia Kompyuta yako. Uko kwenye gari, daladala, hotelini au mahali pengine na huna kompyuta? Unaweza kutumia simu yako. Adiuta itakuwezesha kufanya kazi popote pale!
Je Ninaipataje?
Ni rahisi sana. Wasiliana nasi kwa mawasiliano yafuatayo
Piga: 0673651520 au 0767893474
WhatsApp Tuchati: 0767893474
Instagram: adiuta_biz
Ninatumia programu nyingine, Ninawezaje kuhama?
Kama unatumia Programu nyingine na ungetaka kuhamia Adiuta, tutakusaidia namna bora ya kuhamia na kila inapowezekana, tutakusaidia kuhamisha data zako. Wasiliana nasi kwa taarifa zaidi.
Karibuni sana tuwahudumie kwa viwango na ubora uliotukuka. Mafanikio yako ni ya msingi sana!