Je, nitaondoaje weusi kwenye makwapa?

Achana nae huyo hata akiota sugu uvungu wa chini atakuomba ushauri utashindwa kumsaidia mana hatakuonesha
 
Maswali Mengine itabidi nisaidiwe na watu huku

Kuna dada Leo kaniuliza kuwa yeye ana Makwapa Meusi, na hajui anatoaje weusi huo maana yanamkera sana

Ameshajaribu kila dawa lakini hamna

Na yeye ni mtu wa kutupia pamba za kata mikono lakini wapi

Anaomba msaada anataka makwapa yake yawe meupe kama ya wazungu! Mnamsaidiaje?!

Great Thinkers Msaidieni Dada hapa!



moneytalk mahondaw Demiss lara 1 mnaitwa huku



Hapa inabidi umuulize Wema Sepetu.
 
Mwambie atumie sabuni ya magadi kwa ajili ya kuogea kwenye kwapa asubuhi mchana na jion na Deodorant ya Alovera Forever.
 
Achukue maji ya limao achanganye na baking soda. Apake kama 5min hivi anawe. Azoee kufanya hivyo mara kwa mara.
 
Maswali Mengine itabidi nisaidiwe na watu huku

Kuna dada Leo kaniuliza kuwa yeye ana Makwapa Meusi, na hajui anatoaje weusi huo maana yanamkera sana

Ameshajaribu kila dawa lakini hamna

Na yeye ni mtu wa kutupia pamba za kata mikono lakini wapi

Anaomba msaada anataka makwapa yake yawe meupe kama ya wazungu! Mnamsaidiaje?!

Great Thinkers Msaidieni Dada hapa!



moneytalk mahondaw Demiss lara 1 mnaitwa huku
Huyo dada anayetoa instructions ndio wewe?
 
Achukue maji ya limao achanganye na mafuta ya nazi...ajisilibe..na atumie secret deodorant ni nzuri mno..inaondoa weusi wa kwapa na kijasho kikali
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom