mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Kama alivyoshangaa Mh.Jaji Mkuu wa Tanzania hata mimi nashangaa.
Japo sina utalaamu mkubwa wa Mambo ya Sheria lakini kwa elimu yangu ndogo hakika hao Majaji hawakustahili kufanya hivyo lakini kama ni kuongeza CV
Lakini kama ni kuwa wakili wa kujitegemea baada ya kukoma Utumishi wao sio sawa.
Japo sina utalaamu mkubwa wa Mambo ya Sheria lakini kwa elimu yangu ndogo hakika hao Majaji hawakustahili kufanya hivyo lakini kama ni kuongeza CV
Lakini kama ni kuwa wakili wa kujitegemea baada ya kukoma Utumishi wao sio sawa.