sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,000
Heri ya ku sensabika kwenu.
Mke kafuma tukio la Mimi kuchepuka na dada mmoja muuza duka. Katika mabishano ya hapa napale nikaamua nikubali ili mzozo uishe.
Leo asubuhi nimekaa sebuleni nasubiri makarani wa sensa nashangaa simu inaita kucheki ni dada yangu anapiga.
Kusudi kubwa lakupiga nikunionya kuwa wifi yake(mke wng) kamwelez kila kitu kuhusu hako kamchepuko hivyo niache mara moja. Aliongea mambo mengi kuonyesha kuwa mke wangu hakumficha chochote.
Kwa kuwa nilikuwa naongelea nje ilibidi niingie ndani kumuuliza mke sababu zakupeleka mashtaka Kama hayo kwa dada.Alichonijibu nikwamba amefanya hivyo makusudi kwa kuwa aliona kwa wifi yake ndo sehemu sahihi.
Sasa nimewaza nikaona niwashirikishe na nyie kwa njia ya maswali mawili;
Moja, nivizuri mke kumsemea mumewe kwa dada zake kuhusiana na Mambo Kama haya?(Fikiri kwamba hana mwngn wakumshirikisha)
Pili; Kwa upande wa mwanaume ni sahihi kumsemea mkeo kwa Kaka yake juu ya issue za kuchepuka?(Fikiri kwamba hana mwngn wakumshirikisha)
Wasalaam!
Mke kafuma tukio la Mimi kuchepuka na dada mmoja muuza duka. Katika mabishano ya hapa napale nikaamua nikubali ili mzozo uishe.
Leo asubuhi nimekaa sebuleni nasubiri makarani wa sensa nashangaa simu inaita kucheki ni dada yangu anapiga.
Kusudi kubwa lakupiga nikunionya kuwa wifi yake(mke wng) kamwelez kila kitu kuhusu hako kamchepuko hivyo niache mara moja. Aliongea mambo mengi kuonyesha kuwa mke wangu hakumficha chochote.
Kwa kuwa nilikuwa naongelea nje ilibidi niingie ndani kumuuliza mke sababu zakupeleka mashtaka Kama hayo kwa dada.Alichonijibu nikwamba amefanya hivyo makusudi kwa kuwa aliona kwa wifi yake ndo sehemu sahihi.
Sasa nimewaza nikaona niwashirikishe na nyie kwa njia ya maswali mawili;
Moja, nivizuri mke kumsemea mumewe kwa dada zake kuhusiana na Mambo Kama haya?(Fikiri kwamba hana mwngn wakumshirikisha)
Pili; Kwa upande wa mwanaume ni sahihi kumsemea mkeo kwa Kaka yake juu ya issue za kuchepuka?(Fikiri kwamba hana mwngn wakumshirikisha)
Wasalaam!