chwechinyong
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 223
- 105
ni kwamba nipo nje ya nchi kimasomo yapata miaka miwili sasa na nimeoa.huwa narudi kila baada ya mda fulani ili kutoa huduma kwa familia na kuepusha vishawishi kuingilia ndoa yetu. Mara ya mwisho nilirudi mwezi wa 12 tarehe 13 mwaka jana 2012. Kufika mwezi wa kwanza tarehe 5, yaani wiki 3 tu baada ya kurudi mke wangu akalalamikia tumbo kuuma baada ya siku kama 4 alienda kupima na kuambiwa kuwa ni mjamzito, ndo mwezi ulikuwa unakaribia toka nirudi.je hili linawezekana?
Baada ya mda kupita juzi ameenda kupima tena hospitali na kuambiwa kuwa ana ujauzito wa wiki 30 ambapo kwa mahesabu yangu wiki 30 nyuma inaangukia mwezi wa 11 katikati...je hapanimebambikiwa au wadau hizi wiki huwa zinahesabiwa vipi?. Naombeni maoni yenu wadau
Baada ya mda kupita juzi ameenda kupima tena hospitali na kuambiwa kuwa ana ujauzito wa wiki 30 ambapo kwa mahesabu yangu wiki 30 nyuma inaangukia mwezi wa 11 katikati...je hapanimebambikiwa au wadau hizi wiki huwa zinahesabiwa vipi?. Naombeni maoni yenu wadau