Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,331
- 10,751
Wasomi wengi ni wezi wanaibia makampuni.
Wasomi wengi ni wapiga deal
Wasomi ni watakatishaji fedha
Wasomi Ndo washinda wanabet kwenye kamari
Wasomi Ndo wazinifu na wenye kusifia huu uchafu, kuhalalisha uchepukaji
Wasomi wengi hujaza mabaa na makumbi ya starehe wakilewa
Wasomi wengine hubaka nakusingizia walishindwa kuzuia tamaa za mwili.
Sijasema wasomi wote.
Ila vijana wana mentality ya kutusua maisha bila kujali njia ilimradi awe na gari na nyumba na amiliki pisikali.
Je, msomi bila Maadili binafsi atakuwa na msaada katika jamii Yake?
Wasomi wengi ni wapiga deal
Wasomi ni watakatishaji fedha
Wasomi Ndo washinda wanabet kwenye kamari
Wasomi Ndo wazinifu na wenye kusifia huu uchafu, kuhalalisha uchepukaji
Wasomi wengi hujaza mabaa na makumbi ya starehe wakilewa
Wasomi wengine hubaka nakusingizia walishindwa kuzuia tamaa za mwili.
Sijasema wasomi wote.
Ila vijana wana mentality ya kutusua maisha bila kujali njia ilimradi awe na gari na nyumba na amiliki pisikali.
Je, msomi bila Maadili binafsi atakuwa na msaada katika jamii Yake?