Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,326
- 10,736
- Thread starter
- #21
Je kusoma nakuwa mafisadi... Wezi na wahujumu uchumu..mada yako nzuri bt umeitia makoro koro mengi, kitu pekee unapaswa kujua ni kua kusoma na kuelimika ni kuongeza upeo wa maarifa bt upeo huo hauwezi kumzuia mtu kufanya starehe yeyote, HUKO KUSOMA NA KUELIMIKA hakuwezi kuondosha matamanio ya mwanadam ambayo ni nature, matamanio ambayo ndo hua chanzo cha ukosefu wa mwanadam YEYOTE, tizama hata maandiko yameeleza namna mitume walivyokengeuka na kumkosea muumba wao ajili ya natural desire, inshort binadam yeyote bila kujali kasoma au lah huponzwa na matamanio HAYA ambayo ndo hupelekea kukosea OVA
Nayo Ni matamanii?