MalumeNdago
Member
- Jan 8, 2018
- 28
- 16
Je, kuna haja ya kuendelea kutoa matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na cha sita kishule ikiwa bado elimu haijawa na uwiano unaofanana?
Ubora wa elimu haulingani? Kila siku wenye miguu watakua wa kwanza kwenye mbio na wasiojiweza na tutaendelea kuwapongeza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubora wa elimu haulingani? Kila siku wenye miguu watakua wa kwanza kwenye mbio na wasiojiweza na tutaendelea kuwapongeza?
Sent using Jamii Forums mobile app