bulldoza
Senior Member
- Sep 28, 2011
- 133
- 42
mtoto kufariki ni kawaida
kuhusu kuumwa umepima hospital? kama ndio ugonjwa wa majini au ushirikana
nijuavo hospitali hawawezi ona kama unaumwa
ila kama waliona basi endelela kutumia daw ahuku ukimtumain Mungu,
sitachelea kusema damu ya YESU NDIO DAWA YAKO hakuna ingine hakuna mponyaji zaidi yake.
mtafute mchungani akuombee si lazima ubadili dini yako ila mwmaini yesu pekee
hao wengine wa kisomo na mashaka kwani watataka hela.
Si umpe hiyo avater yako kwani si una upanyaji kibao
RESPECT TO YOUR AVATER SACRAMENT EUCHARIST!