Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
- Thread starter
- #81
hapo ndio mm nawashangaa wabongo siku zote
kuwa na mke au girlfriend sio kummiliki kila kitu
vitu kama emails facebook au simu ni private
kwann kushare passwords? hamuaminiani?
ndoa bila privacy haiwezi kudumu mtaishi kwa kuogopana
marriage is not about controlling your fellow ni kuishi kwa upendo na ina mipaka yake
yawezekana ww ulikuwa unamchunga too much kujua nani kachati nae kwann nk
hata mngeoana hamngedumu. acha tabia za kikoloni.mambo ya kizamani yamepitwa na wakati
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako either, ila pamoja naona hujaelewa vizuri ila naona wadau wengine wote wamenielewa what naamnisha kuki kesha, naona umesoma sehemu moja tu hiyo ya password basi sehemu nyingine hujasoma, pia nashukuru kwa mchango kaka na tupo pamoja.