Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Licha ya kuwa tunapendana sana na huyu mpenzi wangu kuna siku moja moja huwa tunakorofishana na mara zote mimi huwa ndio chanzo cha ugonvi kwa sababu ya kufumania sms mbali mbali za wanawake wengine kwenye simu yangu,
Kwa kuwa niliona tunagombana almost kila mara na kosa huwa ni moja tu niliamua kumpiga marufuku kushika shika simu yangu bila sababu ili tu tuishi kwa amani,
Sasa jana nilikuwa nae mchana wakati natoka naenda kuoga akachukua simu na kuanza kuperuzi akakutana na sms kibao za mademu niliotoka kuwatindua wakisifia utendaji kazi uliotukuka wa dushe langu,
Wakati natoka bafuni sina ili wala lile nakutana na mtu amefura, analia huku anatoa maneno kibao ya kunilaumu kisha akanionyesha zile text,kwa hasira akataka kusepa gheto
Sasa kwa kuwa mimi nilishamzuia kushika shika simu yangu bila sababu ya msingi nilimpatia moto nikamvuta kitandani huku analia, nikampa Romance kaipokea, touch kila sehemu mwisho nikampa penzi moja matata,
Toka hapo nikamuachia mazaga apike msosi wa gheto nikaenda mjini kimya kimya nikanunua pande moja ya kikoi plus dozen mbili za chupi nikarudi nazo gheto kama suprise nikampiga nazo,
Alifurahi sana akaruka na kunikumbutia then nikamkiss na kumwambia nakupenda sana mpenzi wangu, malkia wa Moyo wangu,"Akanikisi mwaaaaa Zero IQ wangu", Nuru ikarudi machoni pake na kusahau ata kile kilichotokea dakika chache zilizopita.
CC Zero IQ
Kwa kuwa niliona tunagombana almost kila mara na kosa huwa ni moja tu niliamua kumpiga marufuku kushika shika simu yangu bila sababu ili tu tuishi kwa amani,
Sasa jana nilikuwa nae mchana wakati natoka naenda kuoga akachukua simu na kuanza kuperuzi akakutana na sms kibao za mademu niliotoka kuwatindua wakisifia utendaji kazi uliotukuka wa dushe langu,
Wakati natoka bafuni sina ili wala lile nakutana na mtu amefura, analia huku anatoa maneno kibao ya kunilaumu kisha akanionyesha zile text,kwa hasira akataka kusepa gheto
Sasa kwa kuwa mimi nilishamzuia kushika shika simu yangu bila sababu ya msingi nilimpatia moto nikamvuta kitandani huku analia, nikampa Romance kaipokea, touch kila sehemu mwisho nikampa penzi moja matata,
Toka hapo nikamuachia mazaga apike msosi wa gheto nikaenda mjini kimya kimya nikanunua pande moja ya kikoi plus dozen mbili za chupi nikarudi nazo gheto kama suprise nikampiga nazo,
Alifurahi sana akaruka na kunikumbutia then nikamkiss na kumwambia nakupenda sana mpenzi wangu, malkia wa Moyo wangu,"Akanikisi mwaaaaa Zero IQ wangu", Nuru ikarudi machoni pake na kusahau ata kile kilichotokea dakika chache zilizopita.
CC Zero IQ