Tunaimani na tunaambiwa yakuwa msanii ni kioo cha jamii, je tunaelewa maaana ya huu msemo na nikweli wasanii wetu ni kioo cha jamii? Kioo huwa hakibadishi sura au uhalisia wa mtu/kitu,kioo huonyesha kilichopo mbele yake kiwe kizuri ama kibaya.kwa hiyo ni vizuri tukatafakari huu msemo kwamakini,hiki kioo tunacho kiita cha jamii kipo mbele ya vitu vingi sana visafi na vibaya.Tumewasikia wasanii wengi sana wa hapa na nje ya hapa.je bado huu mseme una maana/mvuto tena?