MPIKUSASA
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 112
- 6
Kwa matukio yaliyojirudia mara mbili, tena kwa kiasi kikubwa yakionesha serikali kuhusika kwa nama moja kuua wanchi wasio na hatia yeyote, je hili halitoshi kufanya serikali kuajibika? Katika serikali yenye kuwajibika inapofika matukio ya kuuliwa kwa raia wake yanapokuwa yamekithiri na tena matukio yakihusisha vyombo vya ulinzi basi serikali hiyo inapaswa kujihuzuru.