Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Habari za muda huu Tech Gurus?
natumia simu aina ya Camon 16.
Hii simu kwa kuhofia kwamba siku ikipotea nije niipate kirahisi, nimeacha kuweka Security lock, zile za Pattern, number, password ama Fingerprint.
Ina SWIPE tu. Je, niko sahihi kiusalama?
Je, siku ikipotea naweza kuipata?
natumia simu aina ya Camon 16.
Hii simu kwa kuhofia kwamba siku ikipotea nije niipate kirahisi, nimeacha kuweka Security lock, zile za Pattern, number, password ama Fingerprint.
Ina SWIPE tu. Je, niko sahihi kiusalama?
Je, siku ikipotea naweza kuipata?