Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,024
- 1,959
Kwaza kabisa nigaependa kuwasalimu wote wapenzi wa jukwaa hili.
Ni kipindi kirefu sana hatukutani humu, lakini hii ilitokana na mimi kuingia katika majukumu ya kiume; nilifanikiwa kupata mke na Mungu akabariki nikapata watoto wawili mapacha, na sasa ninaye wa tatu.
Majukumu na aina ya mfumo niliotumia kusaka hela ulinyima kabisa airtime ya kuwatembelea. Shemeji yangu kantwe, masai dada na Heaven Sent sijuu nitawapata.
Nikurundi kwenye maada,
Naombeni kwa anayejua mbinu au namna ya kufanya ili nipate mtoto anayefanana na mimi maana nimepata watoto watatu wote wanafanana na mama yao tu.
Ni kipindi kirefu sana hatukutani humu, lakini hii ilitokana na mimi kuingia katika majukumu ya kiume; nilifanikiwa kupata mke na Mungu akabariki nikapata watoto wawili mapacha, na sasa ninaye wa tatu.
Majukumu na aina ya mfumo niliotumia kusaka hela ulinyima kabisa airtime ya kuwatembelea. Shemeji yangu kantwe, masai dada na Heaven Sent sijuu nitawapata.
Nikurundi kwenye maada,
Naombeni kwa anayejua mbinu au namna ya kufanya ili nipate mtoto anayefanana na mimi maana nimepata watoto watatu wote wanafanana na mama yao tu.