Je, nichukue Toyota Wish au IST?

mfate42

JF-Expert Member
Nov 16, 2014
3,766
4,259
Habari za muda huu ndg zangu, naomba mwenye kuyajua hayo magari nliyoyataja hapo anipe ushauri Ni lipi imara na bora kwa matumizi.

1606725422084.png

Toyota WISH

1606725532115.png

Toyota IST
 
Vigezo ni vingi sana vya kuzingatia, kabla hujaanza kupata ushauri fanya kazi hii kidogo.

Chukua karatasi 2 moja andika IST nyingine andika WISH.

Kisha anza kuainisha kila moja anzia bei, utumiaji wake wa mafuta kwa km 1, ina 4wd, wewe unaihitaji kwa matumizi yepi, unatarajia kupita nayo kwenye barabara zipi, ni ya biashara au ya kula bata au ya familia.

Ukifanya huo upembuzi yakinifu njoo tena hapa na hizo data kisha tutakusaidia kuchagua ipi ununue.
 
Vigezo ni vingi sana vya kuzingatia, kabla hujaanza kupata ushauri fanya kazi hii kidogo.

Chukua karatasi 2 moja andika IST nyingine andika WISH...
U said it right.

Kwa kuongezea tu, kama ni mtu wa familia ama unatarajia kuwa na familia hivi karibuni

Chukua tu Wish, maana hata ulaji wake wa mafuta sio m'baya pia ina nafasi nzuri ndani (kubwa) tofauti na Ist

Wish yenye 1,790cc (1,800Cc) inatembea wastan wa km takriban (14km/L)

Ist yenye 1,290cc (1,300) yenyewe inakwenda takriban 18km / L

Na yenye 1,490 (1,500) inakwenda wastani wa
15km /L


Ni hayo tu.
 
asante kwa ushauri
Wish safari IMO lakini Sheri jipange!
IST safari imo iko na bajeti,,,; Lakini kama unataka show off na mbio wish ni nzuri. Lakini kama wewe ni mchumi nunua IST gari ya watoto
 
U said it right.

Kwa kuongezea tu, kama ni mtu wa familia ama unatarajia kuwa na familia hivi karibuni...

Hivi, hivyo vipimo vya Km kwa lita moja ni ukiwa unatumia AC au bila AC?

Je, gari ikiwa na cc tajwa na ikawa inatumia km chache kwa lita shida inakuwa ni nini?

Mfano hapo cc 1,800 makadirio ni km 14/L, badala yake cc hizohizo zinaenda km 8/L tatizo linakuwa ni nini?
 
Hivi, hivyo vipimo vya Km kwa lita moja ni ukiwa unatumia AC au bila AC?

Je, gari ikiwa na cc tajwa na ikawa inatumia km chache kwa lita shida inakuwa ni nini?

Mfano hapo cc 1,800 makadirio ni km 14/L, badala yake cc hizohizo zinaenda km 8/L tatizo linakuwa ni nini?

Hivi, hivyo vipimo vya Km kwa lita moja ni ukiwa unatumia AC au bila AC?

Je, gari ikiwa na cc tajwa na ikawa inatumia km chache kwa lita shida inakuwa ni nini?

Mfano hapo cc 1,800 makadirio ni km 14/L, badala yake cc hizohizo zinaenda km 8/L tatizo linakuwa ni nini?
Ukiwa unatumia Ac
Kuna factors nyingi zinachangia. Moja kubwa na ya muhimu ni 'power' ya gari husika.
 
Hivi, hivyo vipimo vya Km kwa lita moja ni ukiwa unatumia AC au bila AC?...
Suala la gar kula mafuta ukiwasha ac kama unatembea haili kipimo ni kilw kile tu hakipunguzi km ac inakula mafute kwenye folen coz silence inakua inapanda na kushuka kwa ajili ya kusukuma compresor ya ac hii suala la ac linaongeza matumizi ya mafuta safarini ni uongo mkubwa all of the all chukua ist ipo nzur imara na hata family ndogo inafaa hata suala la parking haisumbui wish kwa matumizi ya family si mbaya
 
Hivi, hivyo vipimo vya Km kwa lita moja ni ukiwa unatumia AC au bila AC?

Je, gari ikiwa na cc tajwa na ikawa inatumia km chache kwa lita shida inakuwa ni nini?

Mfano hapo cc 1,800 makadirio ni km 14/L, badala yake cc hizohizo zinaenda km 8/L tatizo linakuwa ni nini?
Hapo maana yake gari inatumia mafuta Mengi kuliko kawaida.

Njia rahisi ambayo huwa naitumia kujua kama gari inatumia mafuta sawa sawa au lah ni kuangalia Short na Long fuel trims kama zipo katika asilimia zinazotakiwa. Hili mpaka kwenye machine ya Diagnosis ambayo inaonesha Live Data.
 
Hivi, hivyo vipimo vya Km kwa lita moja ni ukiwa unatumia AC au bila AC?..
Hamna 1ZZ-FE ya kwenda 14km/l labda hizi zenye mfumo wa Valvematic ambazo zinaitwa 2ZR-FE pengine. Ila wishi Old ikiwa kwenye ubora wake Highway itakupa 12.4KM/L ...towntrips inakupa 8.8KM/L.

Hivi ni vipimo vinafanyikaga standard provided na AC ina run. Kwahio utaona Wastani wa mjini ni 8KM/L safarini 12KM/L. Ila Economy huathirika overtime esp ukiwa na Bad Plugs, O2 Sensor, Fuel filter, Air filter, Dirty Throttle body.
 
Back
Top Bottom