Kilenzi _Jr
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 301
- 1,110
Mtu mmoja kauwawa kwenye rest room ya bar hapo juu kushoto je kupitia picha hii nani atakua kamuua??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu mezani kwake mna kisu au ni hiyo jinsia yake mkuu?
DahAlieuwa hawez kukaa hapo kashaondoka
hahahahahaha case freaking closedHii ni katuni tu ya kuchora hamna aliyeuliwa!
3 ndie mtuhumiwa namba moja Kwa sababu zifuatazo 1.Anakula chakula Kwa kutumia Uma na kisu Kipo pembeni 2.malehemu amechomwa kisu na kisu Kipo pembeni 3.aina ya kisu ndo hicho hicho lakini Kwa nn mkono wa kushoto mwa marehemu ana kipisi cha kitambaa kinachofanana na nguo aliyoivaa namba 4 ni mtazamo wangu tuuMtu mmoja kauwawa kwenye rest room ya bar hapo juu kushoto je kupitia picha hii nani atakua kamuua?? View attachment 1975048
Safi sana...4. Marehemu anakitambaa mkononi cha shirt alilovaa mwamba