jesca nasikia yupo ulaya anasoma. wakati huohuo alifukuzwa kule dom pamoja na vilaza.Baba Jesca. Huyu jamaa anakurupuka Sana.
JF a place to be haha hahahaNgoswe - kwasababu aliagizwa akahesabu watu ila penzi lake kwa Mazoea likamponza.
20 alimdharau man maji..baada ya Ku shine..akawa anamckliza afande huku wakburudka na majani...Nikimuangalia 20 per sioni uzembe wake ila alikosa management tu na watu wa kumuongoza wakina afande sele wana mchango mkubwa kwa alipofikia sasa...labda afande sele ndio shida kubwa
anavutishwa bang bangNikimuangalia 20 per sioni uzembe wake ila alikosa management tu na watu wa kumuongoza wakina afande sele wana mchango mkubwa kwa alipofikia sasa...labda afande sele ndio shida kubwa
Boban. Mfano wa wachezaji wanaoumiza kama kweli unajua maana ya "fundi wa soka"Haruna Moshi 'Boban' bonge la kiungo. Bange sasa.
Na offside trick mkuu, muziki wa mwambao ulianza kupenya vizuri kwenye bongo flavourWANAUME FAMILY..mapanga shaa, baada ya kujitenga kundi la Juma nature na Said fella.
WAKALI KWANZA..joslin, qjay na makamua walikuwa na nafasi nzuri ya kufanya mapinduzi ya bongofleva ndani ya Afrika mashariki.
ZANZIBAR STARS..kwenye Taarab kabla hajaondoka mzee Yusuph, Joha kassim, Mosi suleiman, zena, nk
TNG SQUARD..baada ya kutoa nyimbo safi bongo.com kundi likavunjika wakabaki wawili mwisho wakapotea mazima.
2BERRY..berry black na berry white walikuwa na nyimbo zao nzuri sana walipokuwa pamoja kama nakupenda, mimi nataka kuwa nawe
Ray C na Daz Baba wasingetumia madawa ya kulevya, tunawamiss sana kwenye game la music
20 alimdharau man maji..baada ya Ku shine..akawa anamckliza afande huku wakburudka na majani...