Je, ni wangapi wasiotamani kupata watoto?

Mkuu sio kwa age yake huyo Dada, ,hapo ni jioni tayari...ameshahangaika sn tu,,bila mafanikio,,ndy analeta kauli hizo...hakuna asiyetaka mtoto mkuu,,,wapo watu wana kila kitu lakini wanaumia sn sababu hawana watoto,,,hivi u wanaume wako upo wapi kama huwezi kudunga mwanamke mimba?hivi uanamke wako upo wapi kama huwezi kufunga mimba?hicho kitu kinawaumiza sn mkuu.,..nikupe mfano mmoja,,,yupo Dada Fulani kaozesha mwanawe kwa jamaa Fulani anapesa zake,,,huu ni mwaka wa kumi na tano jamaa hajapata mtoto,,,wamekwenda kupima hospital kaonekana mume ndy ana matatizo ya uzazi..sasa tabu inakuja mke anataka mtoto,,mume anamwambiya tuishi kwa kulea watoto wa watu,,,mwishowe mama Mkwe akamshawishi mwanae wa kike adai talaka,,,ili aachwe ,,akaolewe pengine aweze kuzaa,,,kesi ipo bakwata,,jamaa hatoi talaka,,,mke kaamua kuacha kila kitu kwa mumewe nyumba,,magari kaacha sababu tu,,na yeye aitwe mama,,,kwahyo mkuu Mimi siamini kama kuna watu hawataki watoto,,,unaweza usihitaji mtoto kwa kipindi Fulani cha maisha,,,lakini sio kuanzia miaka 35 useme sihitaji mtoto,,ni kauli ya kuangaliwa kwa jicho la tatu... Kwa kifupi ni kauli ya kukata tamaa
Sasa hao bakwata wanaishikilia ya nini ndoa. ..?

Au kwa sababu ni matajiri... Waivunje hiyo ndoa...

Mbona yajuzu mwanamke kuomba talaka kama anahitaji kupata mtoto...

Huyo mwanaume alazimishwe amuache huyo mwanamke... Ingekuwa tatizo lipo kwa mwanamke si angetafuta mke mwingine.. .

Kuna watu wanawadhulumu wanawake huku wanashuhudia.
 
Wewe mbona haueleweki aisee? Wewe si ndiyo umetoka kuongelea habari za Mungu na uumbaji sasa mbona unakana kwamba hakuna kuenda mbinguni?

Kwamba unaamini kuwa Mungu yupo na alituumba ila hauamini kama kuna mbingu wala moto? Na kama mtu akifa amekufa sasa kwanini aogope kutokuzaa?

Wapi Mungu alisema utaenda Mbinguni?

Mwanadamu aliumbwa Ili aishi duniani. Dunia ndio kwetu, hizo zingine porojo.

Kumbe uoga wa watu wajinga ni kwa sababu ya kwenda mbinguni Dooh! Wewe badala uwe muoga kwa kutofuata maagizo ya Mungu unakuwa muoga wa matokeo. Huna ulichoepuka hapo.
 
Wewe mbona haueleweki aisee? Wewe si ndiyo umetoka kuongelea habari za Mungu na uumbaji sasa mbona unakana kwamba hakuna kuenda mbinguni?

Kwamba unaamini kuwa Mungu yupo na alituumba ila hauamini kama kuna mbingu wala moto? Na kama mtu akifa amekufa sasa kwanini aogope kutokuzaa?

Wapi Mungu alisema utaenda Mbinguni?

Mwanadamu aliumbwa Ili aishi duniani. Dunia ndio kwetu, hizo zingine porojo.

Kumbe uoga wa watu wajinga ni kwa sababu ya kwenda mbinguni Dooh! Wewe badala uwe muoga kwa kutofuata maagizo ya Mungu unakuwa muoga wa matokeo. Huna ulichoepuka hapo.
 
Kuzaa au kuzalisha ni jambo ambalo hata kichaa anaweza kulifanya maana ni sex tu inahitajika lakini hiyo haimaanishi ana uwezo wa kuwa mzazi.

Kuzaa ni jambo halichukui mwaka kukamilika ila jukumu la mzazi ni kujenga au kuharibu msingi wa maisha ya mtoto. Ni jukumu la kumsimamia mtu hadi pumzi yako ya mwisho.

Kuzaa na kulea ni zaidi ya kutumia maumbile yako uliyojaaliwa . Its more than that
Kuzaa au kuzalisha ni jambo ambalo hata kichaa anaweza kulifanya maana ni sex tu inahitajika lakini hiyo haimaanishi ana uwezo wa kuwa mzazi.

Kuzaa ni jambo halichukui mwaka kukamilika ila jukumu la mzazi ni kujenga au kuharibu msingi wa maisha ya mtoto. Ni jukumu la kumsimamia mtu hadi pumzi yako ya mwisho.

Kuzaa na kulea ni zaidi ya kutumia maumbile yako uliyojaaliwa . Its more than that


Upo sahihi, lakini mada imejikita kwenye kuzaa. Na ndio maana nami najikita humo humo. Haimaanishi sijui kunakulea.
 
Umejuaje hili ? Naomba ushahidi wa hili.

Unatumia vigezo gani kukanusha suala la kwenda mbinguni ? Ukweli ni uli na kwanini na tupe ithibati juu ya unachokiamini.
Umejuaje hili ? Naomba ushahidi wa hili.

Unatumia vigezo gani kukanusha suala la kwenda mbinguni ? Ukweli ni uli na kwanini na tupe ithibati juu ya unachokiamini.


Ipo hivyo Mkuu. Ukifa ndio imetoka. Hakuna maisha ya milele kwa kiumbe, Mungu ndiye anaishi milele. Ukilijua hilo hutadanganywa. Linda maisha, thamini uhai. Kwani ni Mara moja tuu.
 
Hii nimeikuta kwenye mahojiano sehemu kwenye blog moja, mdada mmoja mrembo tu umri 32yrs yeye anadai hataki mtoto kwa vyovyote vile.

Kaenda mbali sana hadi kuwa na watoto sio garantii ya wao kukusadia uzeeni, uzeeni unatakiwa ujiandalie mwenyewe sio kuwatwisha watoto burden.

Cha ajabu kwenye comment section ya hiyo video, wadada wengi nimeona wana-share the same view.

Hii mwaionaje wakuu? Huko tunaelekea ni salama kweli?
Usizae kama uwekezaji maana kweli haina guarantee kuwa hao watoto watakuja kukusaidia.
Ile mimi kupata mtoto kwangu was a blessing in disguise. Nilipopewa taarifa na glory kuwa ana ujauzito wangu nilitahamaraki sana. Kwa muda huo sikuwahi jipiga picha eti mimi niitwe baba.
Lakini niliweza overcome ile shock na kuchukua majukumu ya kulea mimba mpaka mtoto anazaliwa. Leo hii mtoto kanifanya kuwa responsible, kanifanya niwaze kuwekeza, kanifanya niwe na plan na maisha ya baadae. Actually ni blessing nimepata she is now 5 years.
 
Tuna sadiki kuwa yesu hakuzaa ... Unalizungumziaje hilo " je yesu ni punguwani " ?? Wewe na yesu ni nani ambaye ni punguwani ??
Tuna sadiki kuwa yesu hakuzaa ... Unalizungumziaje hilo " je yesu ni punguwani " ?? Wewe na yesu ni nani ambaye ni punguwani ??

Yesu aliondoka akiwa chini ya miaka 40. Kwa zamani bado alikuwa kijana mdogo. Naweza kusema hakupata muda wa kutosha kuwepo Duniani.

Hata hivyo, Yesu ni kama watu wengine, anamazuri yake na mapungufu yake Kama alikuwa mwanadamu hana uspesho wowote ikiwa alivunja kanuni za msingi za dunia. Ikiwamo Uzazi.

Sijajua unavyomtaja Yesu unalenga kuwa namuonaje, wakati namchukulia kama watu wengine. Au kwasababu propaganda za waandishi zinampamba?
 
washika dini kama ninyi ilitakiwa muonyeshe uwezo na utofauti wa kimtazamo katika kuwa na fikra pana

Unakifaa cha kupima wanawake wenye akili timamu? au wewe ndiye una amua mwanamke huyu awe na akili timamu na huyu asiwe



Sent using Jamii Forums mobile app
Una kifaa cha kumpima mtu mninga ? Unaandika nini kijana ? Sasa sisi na wewe nani mwenye fikra finyu kuliko mwenzake, wewe ambaye unafikiria ya kuwa kipimo cha jambo fulani basi ni kwa kifaa tu.

Huwa mnatumia kifaa gani kumjua mtu fulani ni mjinga ? Siku nyingine uwe unafikiria mambo kwa mapana zaidi.
 
Ipo hivyo Mkuu. Ukifa ndio imetoka. Hakuna maisha ya milele kwa kiumbe, Mungu ndiye anaishi milele. Ukilijua hilo hutadanganywa. Linda maisha, thamini uhai. Kwani ni Mara moja tuu.
Nimekuuliza umejuaje unajibu ipo hivyo, jibu swali nililo kuuliza na utuambie huu ujasiri wa kuandika mambo usiyokuwa na elimu nayi unaupata wapi ?

Sasa wewe mbona mpaka muda hujalijua hili hakika yake na unaendelea kujidanganya mwenyewe kwamba unajua ? Jf kuna vituko sana.

Umejuaje haya mzee, mbona nakuuliza maswali marahisi unashindwa kujibu ?
 
utakuta wewe jamaa una elimu ya juu pia na kuna ndugu zako wanakusikiliza, kiwango chako cha ustaarabu ni kidogo sana mkuu

Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app
utakuta wewe jamaa una elimu ya juu pia na kuna ndugu zako wanakusikiliza, kiwango chako cha ustaarabu ni kidogo sana mkuu

Pole sana

Sent using Jamii Forums mobile app


Nina shahada mbili, lakini hiyo haitoshi kunielezea.

Kwa kiasi Dunia nimezunguka, Nimeshaenda Fiji, Korea Kusini, Bahrain na Dubai, Norway, Brazil na Marekani.

Kwa Afrika nimetembelea Ghana, Mali na Morroco. Hii ni kusema Nina exposure kuhusu Dunia.

Jamii zisizozaa ndizo hazina nguvu. Koo zisizozaa ndizo koo masikini.

Huko Duniani mataifa yote yenye idadi kubwa ya watu ndio yananguvu. Nyie mnakalia watu wasizae kama sio upuuzi.

Kama wewe hujatembea chukulia mfano hata hapo Tanzania, makabila yenye idadi kubwa ya watu ndio yananguvu, kiuchumi, kielimu, kivyovyote vile.

Lakini vikabila uchwara havina la maana,
 
Nimekuuliza umejuaje unajibu ipo hivyo, jibu swali nililo kuuliza na utuambie huu ujasiri wa kuandika mambo usiyokuwa na elimu nayi unaupata wapi ?

Sasa wewe mbona mpaka muda hujalijua hili hakika yake na unaendelea kujidanganya mwenyewe kwamba unajua ? Jf kuna vituko sana.

Umejuaje haya mzee, mbona nakuuliza maswali marahisi unashindwa kujibu ?

Soma Kitabu unachokiamini, kama ni Biblia soma Mwanzo sura ya 2,3.

msome Ayubu, msome mhubiri, soma maombolezo. Ukifa umekufa. Mengine ni kufarijiana.

Shetani alidanganya ukila tunda hamtakufa, alipoona tunakufa sasa anadanganya watu kuna kufufuliwa. Hahahaha!

Mungu hana muda na wanadamu tena Mkuu. Alishamaliza kazi.

Wanadamu wanachohangaika sasa hivi ni kupambana na kukidhibiti kifo. Wajinga wanasubiria kufufuliwa. Hahahaha!

Nikuambie tuu kifo kitadhibitiwa na sisi wenyewe wala hatakuja mtu kutufufua.

Usiponielewa basi Mkuu
 
Nina shahada mbili, lakini hiyo haitoshi kunielezea.

Kwa kiasi Dunia nimezunguka, Nimeshaenda Fiji, Korea Kusini, Bahrain na Dubai, Norway, Brazil na Marekani.

Kwa Afrika nimetembelea Ghana, Mali na Morroco. Hii ni kusema Nina exposure kuhusu Dunia.

Jamii zisizozaa ndizo hazina nguvu. Koo zisizozaa ndizo koo masikini.

Huko Duniani mataifa yote yenye idadi kubwa ya watu ndio yananguvu. Nyie mnakalia watu wasizae kama sio upuuzi.

Kama wewe hujatembea chukulia mfano hata hapo Tanzania, makabila yenye idadi kubwa ya watu ndio yananguvu, kiuchumi, kielimu, kivyovyote vile.

Lakini vikabila uchwara havina la maana,
Kwa hiyo China na India ndio nchi zenye nguvu kuliko zote duniani ? Maana hizo ndio zenye population kubwa ? Vp kuhusu USA na nchi za Ulaya ambazo zina watu wachache kuliko hizo ?
 
Kuna siku nilikua napiga story na mzee mmoja mtu wa makamo na msomi ambaye hua anafanya tafiti kwenye maswala ya maendeleo ya jamii. Tukawa tunajadili swala la kuwa na watoto. Yule mzee aliniambia kitu kilichonifikirisha sana.

Yeye aliniambia, watu wengi hasa katika nchi zetu za Kiafrika wanazaa watoto kwa malengo mawili:
1. Wanawaona watoto kama bima ya uzeeni
2. Presha kutoka kwa jamii inayowazunguka.

Nilipomuuliza ni kwanini jamii inapenda kuona kila mtu akiwa na watoto alinijibu "Unapokua umefikisha umri wa utu uzima, sisi kama jamii tunataka uwe na watoto ILI NA WEWE UTESEKE KAMA TUNAVYOTESEKA SISI!!! Sio sisi wenzio tuwe tunateseka na pilikapilika za malezi, halafu we mwenzetu unainjoy maisha tuu bila stress zozote".
Yuko sahihi sana
 
Hapa kunachozungumziwa uwezo wa kuzaa? Ama majukumu yanayakuja kwenye malezi? Ama watoto kuwa bima uzeeni?
1. Uwezo wa kuzaa (hili mtu halipangi), kuna wasiotaka kabisa kupitia machungu ya kuzaa. Kubeba mimba hadi kujifungua kuna tabu zake!
2. Uwezo na hisia za malezi, hapa wengine hawataki kabisa kulea, hasa vichanga. Kuna wengine hata wanakua tayari kulea watoto wa wengine, ila sio vichanga.
3. Watoto kama bima uzeeni, hapa sio lazima watoto wafanye kadiri ya mahitaji ya mzazi.

Kama mtu hana hisia za kuzaa na kulea, kwa nini tumlazimishe awe na hisia hizo? Mwache apange maisha yake ya uzeeni (kama atafika) kadiri aonavyo.
 
hahahah vipi wanaopanda na hawavuni ?

ndo maana nikasema si lazima kwa sababu hakuna uhakika wa mavuno kwa ulichopanda
Una mtoto?
Wewe mbona haueleweki aisee? Wewe si ndiyo umetoka kuongelea habari za Mungu na uumbaji sasa mbona unakana kwamba hakuna kuenda mbinguni?

Kwamba unaamini kuwa Mungu yupo na alituumba ila hauamini kama kuna mbingu wala moto? Na kama mtu akifa amekufa sasa kwanini aogope kutokuzaa?
Una mtoto?
naona watu wanalazimisha watu wengine wa"feel" ambavyo wao wanadhanii wange"feel" kama wangekua katika hali hio. kutokua na mtoto

it's too hard to enjoy/suffer something you are not concious aware of .

mi naamini kuna watu hawaitaji watoto na wako huru sana na wala hata hawashtuki hata kidogo .na nijambo la kawaida sana

Muhuni tu huyo, katembea ulaya ya wapi labda ulaya ya iringa vijijini

Amejificha kwenye keyboard yake eti huoni ulaya haijajaa, JF bhana ( angetembea hasingekuwa na uwezo mdogo kiasi hiko)

Sent using Jamii Forums mobile app
Je una mtoto?
 
Back
Top Bottom