Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaona kazi ya Mwenzako Ndio bora.
Ukweli ni kwamba wengi tunachukia kazi zetu tunatamani kazi wanazofanya wengine.
Its just a circle in life.
yaani HR manager anatamani Bora Angekua Senior accountant na Senior accountant anatamani Bora angekua HR manager.
Ndio maana we dont Perform better in our roles
you are so right mlachake. Mi nadhani career guidance tangu level ya ordinary, ni muhimu sana.
Na kupata mkopo 100% basi.Baada ya hapo hakuna kitu anachofanya ni bla bla tuSiku hizi people dont just follow their passion. Yaani mtu hasomei udaktari kwasababu anapenda kuwa daktari lakini anasomea udaktari kwasababu Anaweza kupata kazi mapema.
Namshukuru Mungu, I like what am doing, I enjoy my job.
I love my job..............:]
Dah ni kweli,hii yote kwasababu huna jinsi ila ni kupata chochote.
kwa kweli tupo wengi......ulichosoma sicho unachokifanya....huo ndio ukweli.....
What job? Cleaning Mbowe's backyard?
Which job? Making cleanliness for Mbowe's family loo?
Thats why umeamua kukubali kazi ya kuwalisha chakula mbwa wa Slaa?
Ndiyo maana na wewe umekubali kufanya kazi ya kusafisha bafu ya mke wa Slaa?
Unaona kazi ya Mwenzako Ndio bora.
Ukweli ni kwamba wengi tunachukia kazi zetu tunatamani kazi wanazofanya wengine.
Its just a circle in life.
yaani HR manager anatamani Bora Angekua Senior accountant na Senior accountant anatamani Bora angekua HR manager.
Ndio maana we dont Perform better in our roles
Ajira hizi ni km ndoa, waliomo wanataka toka, walio nje wanataka ingia..............