Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Wanabodi,
Watanzania wengi na raia wa nje ya nchi wanatamani sana kuitembelea familia ya Mwl Nyerere na wengine kuzuru kaburi lake pale Butiama.
Kutokana na watu kuwa huru juu ya hilo watu wengi wanakwenda sana kuijulia hali familia hiyo. Na wengi wao wanaona fahari kufika nyumbani kwake.
Kutokana na kitendo cha watu wengine wasio wema kutumia nafasi ya kuitembelea familia ya Nyerere kwa lengo la kutafuta "Umaarufu wa kisiasa" na wengine kutumia nafasi hiyo kupotosha jamii juu ya mambo mbalimbali, Je ni wakati muafaka sasa serikali iweke utaratibu wa kuitembelea familia ya Mwl Nyerere???
Ni sahihi watu kutumia nafasi ya kuitembelea familia ya Mwalimu na kupotosha umma??
Mandla.
Watanzania wengi na raia wa nje ya nchi wanatamani sana kuitembelea familia ya Mwl Nyerere na wengine kuzuru kaburi lake pale Butiama.
Kutokana na watu kuwa huru juu ya hilo watu wengi wanakwenda sana kuijulia hali familia hiyo. Na wengi wao wanaona fahari kufika nyumbani kwake.
Kutokana na kitendo cha watu wengine wasio wema kutumia nafasi ya kuitembelea familia ya Nyerere kwa lengo la kutafuta "Umaarufu wa kisiasa" na wengine kutumia nafasi hiyo kupotosha jamii juu ya mambo mbalimbali, Je ni wakati muafaka sasa serikali iweke utaratibu wa kuitembelea familia ya Mwl Nyerere???
Ni sahihi watu kutumia nafasi ya kuitembelea familia ya Mwalimu na kupotosha umma??
Mandla.