Je, ni wajibu au ni hiari kumhudumia mtoto wa nje ya ndoa?

Wewe condom ulikuwa uzijui?????

Ni mwanao hudumia ili badae uwe na akili ya kufaa condom
 
Mlikuwa katika mahusiano na hamkuwahi kukubaliana kuzaa mtoto, bahati mbaya au mzuri mkatiana mimba mtoto akazaliwa,

Je, huyo mama wa mtoto ana haki yoyote ya kumchukulia hatua baba wa mtoto endapo hatakuwa anatoa huduma kwa mwanaye?

Kumbuka, hawakuwa na makubaliano ya kuzaa, mama mtoto alikuwa anamchuna jamaa na jamaa alikuwa anamtumia mama mtoto kama kipezeo.

Lea huyo mtoto acha janja janja!kinachofanya mtoto azaliwe ni sex ndoa ni maigizo tu kama ya kaole
 
apelekwe ustawi wa jamii asilete ubwege,ni lazima awajibike tu sio kuleta mambo ya nililipia huduma.
Mimi Kuna mdada namfahamu alpaca mimba , Jamaa aliyetembea nae ni muajiriwa serikalini.
Nae alienda hivyo hivyo ustawi wa Jamii ila hakusikilizwa mpaka leo.
Na anawatoto mapacha.
Anapambana mwenyewe.
 
Back
Top Bottom