Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 994
- 1,338
Mkuu umetupa mawe matupuMkuu nahisi bado hujanipata pointi yangu ilipo. Ninachotaka kusema hapa ni kwamba tunasoma ili tuajiriwe BASI kijana anapokosa ajira kinachofuata ni kilio haijalishi amesomea wapi na fani ipi.
Tuamke leo hii hakuna ajira serikalini wala taasisi binafsi je, jamii yetu ina njia mbadala wa kujikwamua na kutatua changamoto kimaisha nje ajira?
Au ndio hivyo tumemezwa na wanaohimiza vijana wajiajiri wakati wao wakipewa huduma zote za kibinadamu kwa kodi zetu bure. Kwanini wanaohamasisha kujiajiri wasiache kazi zao na kujiari kama kweli kujiajiri ni dili?
Mkuu tunahitaji kujiuliza maswali magumu magumu na kukipata majawabu yake kama taifa/jamii basi tutatoka pale tulipo.
Huo ushabiki wa UDSM na UDOM mimi binafsi nauona ni utoto na ulimbukeni tu sababu hata waliopita huko waneshindwa kuisaidia jamii wamebaki kuvaa nusu uchi na kata k huku wakiijita eti ni WASOMI.
Naamini ipo siku Taifa litafaidika na mawazo yako hasa kwa kuwekwa katika nafasi inayokufaa ili kufanikisha hili.