bakarikazinja
Senior Member
- Nov 9, 2009
- 177
- 8
Wanajamii nimeamua kuwa letea jamvini nanyi muweze ni shauri kwani maranyingi nimekuwa na marafiki katika maisha tukisaidiana ktk mambo mbalimbali lakini ya kimaisha na mwingine unamuona kama ndugu yako au zaidi ya ndugu yako na kuanza kumshirikisha katika mambo mbalimbali ya kiwemo ya kifamilia lakini mwisho wa siku huwa anayatoa nje pale mnapo tofautina
hivyo wanajamii ni vizuri kuwambia rafiki zako matatizo yako au siri zako
hivyo wanajamii ni vizuri kuwambia rafiki zako matatizo yako au siri zako