Je ni uoga tu au kuna la zaidi?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Habari ndugu

naombeni tusaidiane kuelewana kina wapwa na binamu kwa sababu - kwa wanaume rahisi kuwaambia wake zenu mkacheck vinasaba (DNA) kwa watoto wenu at the same time ni ngumu kwenu mkiombwa mkacheck afya zenu (HIV/AIDS/STDs)? hasa pale ambapo kumekuwa na umbali kidogo kati yako na mwenzi wako either due to kika au masomo? (Yaani kama kuna separation ya aina flani)

Na kina dada naambiwa nasi tu wagumu kukubali kucheck vinasaba- pamoja na ukimwi

Je mnataka tuamini ule usemi kuwa wanaume hawawezikukaa bila kumega nje?
Na je mnapomega nje huwa hamtumii kinga? Maana kama mnatumia kwa nini mnaogopa sana kucheck afya?

Nisaidieni tafadhali
 
mtu na mtu......
mimi nna mwaka wa kumi sasa sijawaji
kumega bila condom
na kila nikitaka kwenda kupima hiv....
naahirisha.....

DNA inahusu kusalitiwa...
wakati HIV inahusu uhai wako......
 
Habari ndugu
Nisaidieni tafadhali

Nzuri sana,

1.hivi inakuwaje ni rahisi kwenu kuwaambia wake zenu mkacheck vinasaba (DNA) kwa watoto wenu at the same time ni ngumu kwenu mkiombwa mkacheck afya zenu (HIV/AIDS/STDs)? hasa pale ambapo kumekuwa na umbali kidogo kati yako na mwenzi wako either due to kika au masomo? (Yaani kama kuna separation ya aina flani)
Kama ilikuwepo separation kwa sababu ya masomo or whatever na sio kutokana na UGOMVI kwa maana ya kwamba aidha umenifumania/umejua/umeprove kuwa kuna nyumba ndogo or something, hakuna sababu ya kunitaka nikafanye icho kipimo ingekuwa mimi....ina maana utakuwa HUNIAMINI,,

2.Je mnataka tuamini ule usemi kuwa wanaume hawawezikukaa bila kumega nje?
Kwani huamini jamani hadi leo MJ1? Linawezekana sana tu...inetegemea ntu na ntu na hiyo ni topic inajitegemea kabisa. Sio kila mtu anamega nje...na wanawake je>?

3.Na je mnapomega nje huwa hamtumii kinga?
rejea 2 hapo juu, ila suala la kutumia au kutotumia kinga na lenyewe ni pana na lina utata sana.....linahitaji pia sredi yake,

4. Maana kama mnatumia kwa nini mnaogopa sana kucheck afya?
Nadhani hili linategema 1 na 3 hapo juu

MJ1...wataka kufungua pandora's box ama nini jamani...eeh

Send off ilikuwa safi sana jana....
 
mtu na mtu......
mimi nna mwaka wa kumi sasa sijawaji
kumega bila condom
na kila nikitaka kwenda kupima hiv....
naahirisha.....

DNA inahusu kusalitiwa...
wakati HIV inahusu uhai wako......

The Boss unachekesha

kwanini unaogopa kupima HIV vip huoni kama ni vyema kujitambua ..;)
 
The Boss unachekesha

kwanini unaogopa kupima HIV vip huoni kama ni vyema kujitambua ..;)


siogopi....
but why nipime wakati
kuchovya chovya sina mpango wa kuacha karibuni????
nitapima nikiwa tayari kwa ndoa....
nimepima last year....but sikurudi kupima tena
after three months....

lengo la kupima ni kama unataka kuacha kutumia condom
mimi hata msichana akiwa bikra natumia condoms
 
The Boss unachekesha

kwanini unaogopa kupima HIV vip huoni kama ni vyema kujitambua ..;)

hahaha FL1, unadhani hajitambu ki ivyo hadi akatambuliwe na vitambuzi vinavoweza kukutambua vinavyotambua vyenyewe? LOL
 
mtu na mtu......
mimi nna mwaka wa kumi sasa sijawaji
kumega bila condom
na kila nikitaka kwenda kupima hiv....
naahirisha.....

DNA inahusu kusalitiwa...
wakati HIV inahusu uhai wako......

duh kweli Boss umenimaliza, ndio maana nasema kuwa kadri ninavyojitahidi kuuwaelewa ndivyo ninavyozidi kuchanganyikiwa zaidi.
Kwa namna moja au nyingine kuna link kati ya HIV na usaliti my dia- no?
 
Kama ilikuwepo separation kwa sababu ya masomo or whatever na sio kutokana na UGOMVI kwa maana ya kwamba aidha umenifumania/umejua/umeprove kuwa kuna nyumba ndogo or something, hakuna sababu ya kunitaka nikafanye icho kipimo ingekuwa mimi....ina maana utakuwa HUNIAMINI,,....

Ok ila unajua ni hatari kwa maisha yetu hasaa katika dunia hii ya leo ambayo uaminifu umekuwa haba hasa kwa wanandoa. Suala si kuwa sikuamini Kaizer but hata wewe hutakiwi kuniamini especially after separation ya muda mrefu- hata kama ni ya masomo. Ni muhimu kuweka utaratibu wa kucheck afya mara kwa mara hii assumption si nzuri wezajikuta unajuta baadae.

Kuhusu ugomvi ni kweli kunapotokea ugomvi kiasi cha kuseparate ni muhimu kwa wote wawili kucheck kabla ya kurudiana kama mna nia ya kufanya hivyo but kuna wasiotaka kulielewa hili.

Kwani huamini jamani hadi leo MJ1? Linawezekana sana tu...inetegemea ntu na ntu na hiyo ni topic inajitegemea kabisa. Sio kila mtu anamega nje...na wanawake je>? ....


MJ1...wataka kufungua pandora's box ama nini jamani...eeh

Send off ilikuwa safi sana jana....

mh... jamani niliikosa hii but am happy kama ilikwisha salama, I hope kijana alichange ile alfu kumi kwa ajili ya vile vitamaduni vyetu-
 
siogopi....
but why nipime wakati
kuchovya chovya sina mpango wa kuacha karibuni????
nitapima nikiwa tayari kwa ndoa....
nimepima last year....but sikurudi kupima tena
after three months....

lengo la kupima ni kama unataka kuacha kutumia condom
mimi hata msichana akiwa bikra natumia condoms
Ok Boss nimekuelewa, you are excused katika hili.
 
duh kweli Boss umenimaliza, ndio maana nasema kuwa kadri ninavyojitahidi kuuwaelewa ndivyo ninavyozidi kuchanganyikiwa zaidi.
Kwa namna moja au nyingine kuna link kati ya HIV na usaliti my dia- no?


kuna link ndio but nikijua nimeathirika..
na wewe mpenzi wangu umeathirika....
sitaweza kujua kwa uhakika kama kuna usaliti..
especially kama na mimi nachovya chovya nje....
umenipata????
but la DNA lipo wazi zaidi.mtoto kama si wangu
ina maana umemegwa nje.full stop.
 
MJ1 hili la DNA ni straight forward kwa maana kwamba kama kuna doubt basi wa kuwa na doubt ni mwanaume na siku zote tunaambiwa amjuaye baba wa mtoto ni mama na ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanalea watoto si wao (hata Mkemia Mkuu alithibitisha hili kiutaalam),actually Mkemia Mkuu went further na kupiga marufuku upimaji vinasaba kiholela na siku hizi hizi ni hadi uwe na court order ya kukuruhusu umpime mwanao maana valangati zilizidi kila anayekwenda anakuta kauziwa mbuzi kwenye gunia!La HIV I beg to differ hata kina mama waoga kinoma kupima,ninao ushahidi wa madem kibao wanaokataa kupima na hata wakipima hawaendi kuchukua majibu,MJ1 kupima si mchezo na woga wa kupima unavuka mipaka ya jinsia!!!
 
Habari ndugu

naombeni mnisaidie kuwaelewa wakina binamu kwa sababu the more ninavyojitahidi kuwafahamu the more inakuwa complecated- hivi inakuwaje ni rahisi kwenu kuwaambia wake zenu mkacheck vinasaba (DNA) kwa watoto wenu at the same time ni ngumu kwenu mkiombwa mkacheck afya zenu (HIV/AIDS/STDs)? hasa pale ambapo kumekuwa na umbali kidogo kati yako na mwenzi wako either due to kika au masomo? (Yaani kama kuna separation ya aina flani)

Je mnataka tuamini ule usemi kuwa wanaume hawawezikukaa bila kumega nje?
Na je mnapomega nje huwa hamtumii kinga? Maana kama mnatumia kwa nini mnaogopa sana kucheck afya?

Nisaidieni tafadhali
MJ,
this is a very good topic, ukweli ni kwamba we are all scared of getting ourselves into something that has long lasting consequences, hapa najibu kama mimi na siwanaume wote;
it is easier kupima DNA kwasababu we may be affected by in most cases tunakua victims of the outcomes na ikanua rahisi to point finger should anything negative happen;
kuhusu ukimwi, hii ni changamoto nyingine kwani hapa sasa tunahama kutoka victim kuwa prime na kila binandamu ndio hapo anapokuwa muoga--- nasema hivi kwa sababu kuna hata wanawake ambao hawako tayari kabisa kupima ukimwi hat wapelekwe kwa tingatinga hospitali, nina ushahidi wa hili

sasa basi
cha maan kufanyika hapa ni kuendelea kue,limishana kuhusu faida za kupima ukimwi (ingawa nyie hamtaki kusikia DNA)...

nategemea kuwe na namna ambavyo sisi wanaume wenyewe tunaweza kuongoza mwamko wa kupima ndio labda tunaweza kupata desired impact.... otherwise bado tuko mbali sana
 
MJ1 hili la DNA ni straight forward kwa maana kwamba kama kuna doubt basi wa kuwa na doubt ni mwanaume na siku zote tunaambiwa amjuaye baba wa mtoto ni mama na ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanalea watoto si wao (hata Mkemia Mkuu alithibitisha hili kiutaalam),actually Mkemia Mkuu went further na kupiga marufuku upimaji vinasaba kiholela na siku hizi hizi ni hadi uwe na court order ya kukuruhusu umpime mwanao maana valangati zilizidi kila anayekwenda anakuta kauziwa mbuzi kwenye gunia!La HIV I beg to differ hata kina mama waoga kinoma kupima,ninao ushahidi wa madem kibao wanaokataa kupima na hata wakipima hawaendi kuchukua majibu,MJ1 kupima si mchezo na woga wa kupima unavuka mipaka ya jinsia!!!

thanks mkuu... umeiweka vizuri na nakubaliana sana na wewe mkuu
 
MJ1 hili la DNA ni straight forward kwa maana kwamba kama kuna doubt basi wa kuwa na doubt ni mwanaume na siku zote tunaambiwa amjuaye baba wa mtoto ni mama na ni ukweli usiopingika kwamba asilimia kubwa ya wanaume wanalea watoto si wao (hata Mkemia Mkuu alithibitisha hili kiutaalam),actually Mkemia Mkuu went further na kupiga marufuku upimaji vinasaba kiholela na siku hizi hizi ni hadi uwe na court order ya kukuruhusu umpime mwanao maana valangati zilizidi kila anayekwenda anakuta kauziwa mbuzi kwenye gunia!La HIV I beg to differ hata kina mama waoga kinoma kupima,ninao ushahidi wa madem kibao wanaokataa kupima na hata wakipima hawaendi kuchukua majibu,MJ1 kupima si mchezo na woga wa kupima unavuka mipaka ya jinsia!!!

Aksante Bishanga umenielewesha vizuri ingawa bado nashangaa. So ni muhimu kujua whether mtoto ni wa kwako kuliko kujua if you have been infected? Nafikiri mimi nina matatizo nahitaji kusaidiwa.

Ninapoona kuna separation ya muda flani kati ya wawili hawa ingekuwa vyema tuwe na utaratibu wa kupima kwa sababu hakuna uaminifu siku hizi na takwimu zinaonyesha kuwa wanandoa wanaongoza kwa maambukizo ya UKIMWi jamani tuwe na utaratibu wa kucheck afya zetu tafadhali. We only live once tusirisk maisha yetu na kuwaacha wenetu wakirandaranda mitaani please I beg you my sisters and brothers.
 
MJ,
this is a very good topic, ukweli ni kwamba we are all scared of getting ourselves into something that has long lasting consequences, hapa najibu kama mimi na siwanaume wote;
it is easier kupima DNA kwasababu we may be affected by in most cases tunakua victims of the outcomes na ikanua rahisi to point finger should anything negative happen;
kuhusu ukimwi, hii ni changamoto nyingine kwani hapa sasa tunahama kutoka victim kuwa prime na kila binandamu ndio hapo anapokuwa muoga--- nasema hivi kwa sababu kuna hata wanawake ambao hawako tayari kabisa kupima ukimwi hat wapelekwe kwa tingatinga hospitali, nina ushahidi wa hili

sasa basi
cha maan kufanyika hapa ni kuendelea kue,limishana kuhusu faida za kupima ukimwi (ingawa nyie hamtaki kusikia DNA)...

nategemea kuwe na namna ambavyo sisi wanaume wenyewe tunaweza kuongoza mwamko wa kupima ndio labda tunaweza kupata desired impact.... otherwise bado tuko mbali sana

De Novo kutokana na takwimu kutuonyesha kuwa wanandoa wanaongoza kwa UKIMWi, huoni kama kuna umuhimu wa kubadilika kwa kuweka utaratibu maalumu wa kupima kila baada ya muda flani? Maana slogani za badili tabia naona kama zimegonga mwamba kwa maana kuwa watu wameamua kufanya kuwa ni hulka yetu kumega/gwa nje ya mahusiano yetu ya ndoa wakenya wanasema mpango wa nje!
 
Aksante Bishanga umenielewesha vizuri ingawa bado nashangaa. So ni muhimu kujua whether mtoto ni wa kwako kuliko kujua if you have been infected? Nafikiri mimi nina matatizo nahitaji kusaidiwa.

Ninapoona kuna separation ya muda flani kati ya wawili hawa ingekuwa vyema tuwe na utaratibu wa kupima kwa sababu hakuna uaminifu siku hizi na takwimu zinaonyesha kuwa wanandoa wanaongoza kwa maambukizo ya UKIMWi jamani tuwe na utaratibu wa kucheck afya zetu tafadhali. We only live once tusirisk maisha yetu na kuwaacha wenetu wakirandaranda mitaani please I beg you my sisters and brothers.

hii thread ya leo imeniugusa,MJ1 kupima sio mchezo bwana, ni kotekote kwa wanaume/wanawake...nakumbuka mie wakati ule naambiwa twende mguu kwa mguu tukapime tuendelee na mambo ya uchumba nilijihic kutojielewa, co kwamba mtu hukuwa makini ulikuwa lakini cjui wac/woga hutokea wapi,.lakini ni jambo zuri kujitambua.....
 
Ok ila unajua ni hatari kwa maisha yetu hasaa katika dunia hii ya leo ambayo uaminifu umekuwa haba hasa kwa wanandoa. Suala si kuwa sikuamini Kaizer but hata wewe hutakiwi kuniamini especially after separation ya muda mrefu- hata kama ni ya masomo. Ni muhimu kuweka utaratibu wa kucheck afya mara kwa mara hii assumption si nzuri wezajikuta unajuta baadae.

Kuhusu ugomvi ni kweli kunapotokea ugomvi kiasi cha kuseparate ni muhimu kwa wote wawili kucheck kabla ya kurudiana kama mna nia ya kufanya hivyo but kuna wasiotaka kulielewa hili.

Pili, je, kama mnaishi wawili hamjaseparate, bado kutakuwa na haja ya kucheki HIV kila mara? kama haipo, kwa nini? mtu si anaweza kucheat hata kama mpo wote under the same roof?

MJ1, wakati tukifikiria along those lines, unakumbuka kiapo cha ndoa? cha kwanza ni UAMINIFU!

Hivi, utajisikiaje, kwa vile tu umeenda kusoma au mmetengana kwa sabau za kikazi mwenzio anakujia na kukwambia ukapime HIV? maana yake ni kwamba HAKUAMINI...I stand to be corrected...hata aipambe2 vipi kwamba ooh unajua ni hatari, ooh hata JK kapima ...lakini mi nadhani atakuwa ameshakuhisi vibaya. Utajisikiaje kama umekuwa mwaminifu kipindi hicho chote?

mh... jamani niliikosa hii but am happy kama ilikwisha salama, I hope kijana alichange ile alfu kumi kwa ajili ya vile vitamaduni vyetu-


yeah tulishajiandaa, lakini tulimhonga kwanza MC apeleke mambo chap chap..shangazi tukamweka sawa kabla.....afu mshenga alikuwa na desa la maswali...lol mambo mswano!
 
hii thread ya leo imeniugusa,MJ1 kupima sio mchezo bwana, ni kotekote kwa wanaume/wanawake...nakumbuka mie wakati ule naambiwa twende mguu kwa mguu tukapime tuendelee na mambo ya uchumba nilijihic kutojielewa, co kwamba mtu hukuwa makini ulikuwa lakini cjui wac/woga hutokea wapi,.lakini ni jambo zuri kujitambua.....

Thats my baby now....wow umerudi na ile nguo ya harusi orijino kabisa! hapo kwen hoja atajibu MJ1 mi nimecomment tu kwenye nguo nadhani MJ1 leo atacheka hadi jino la krismasi!
 
De Novo kutokana na takwimu kutuonyesha kuwa wanandoa wanaongoza kwa UKIMWi, huoni kama kuna umuhimu wa kubadilika kwa kuweka utaratibu maalumu wa kupima kila baada ya muda flani? Maana slogani za badili tabia naona kama zimegonga mwamba kwa maana kuwa watu wameamua kufanya kuwa ni hulka yetu kumega/gwa nje ya mahusiano yetu ya ndoa wakenya wanasema mpango wa nje!


brazaa wa out! lol....kuhusu kupima mie nahic nitafariki mapema sana, cjapima kuanzia miaka 3 iliyopita, nikienda kwasasa nahic nitakimbia majibu...wacha tu nilee watoto! MJ1 na ni mpaka hapo huyo mwenzio sasa akubali kwenda kupima, c anajua kona zake?
 
Thats my baby now....wow umerudi na ile nguo ya harusi orijino kabisa! hapo kwen hoja atajibu MJ1 mi nimecomment tu kwenye nguo nadhani MJ1 leo atacheka hadi jino la krismasi!


hope uliniwakilisha kwenye sendoff ma luv.....hii nguo c ndio tulicmama nayo altareni cku zile... remember?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom