Umri gani ni sahihi kumtenganisha mtoto na chumba cha wazazi?

Magu

Senior Member
Jun 13, 2011
156
56
Maadili ya kiafrika yanatuelekeza kutochangia chumba na watoto wetu wakati wa kulala hususani usiku ambapo mambo mengi na maongezi ya kifamilia kati ya baba na mama hufanyika.

Maongezi ya baba na mama ni mengi kuanzia maisha ya watoto na pia mijadala mingi ya maisha yanayoendelea mtaani, ambapo wanandoa hupashana habari na wakati mwingine kupeana umbea wa hapa na pale, lakini pia chumbani kwa wazazi ndo kiwanda cha kutafutia watoto wengine ili kutimiza andiko la kuijaza dunia kama tulivyoagizwa.

Sasa naomba kujua umri sahihi au ni wakati gani muafaka wa kumpa mtoto uhamisho wa kutoka chumbani kwa wazazi awape nafasi ya kufanya yote hayo niliyosema hapo juu, pia kutokubeba wanayofanya wazazi na kupeleka mtaani kwa watu wasiohusika na kuwaaibisha wazazi.

======

Baadhi ya Wachangiaji wamesema hivi;

jamani twendeni mbele turudi nyuma, watoto wa siku hizi wako na akili sana since day one anapozaliwa. zamani mtoto alikuwa akizaliwa hata macho hafungui mpaka baada ya siku saba lakin leo kana toka tumboni na macho kamefumbua kesho yake ukikaekea kalam au rangi rangi kanaanza kufuata kwa macho akiashiria kuwa macho yanaona.

ni busara sana mama na baba kulala na mtoto mchanga chumbani mwao. to me ningeshauri muwe na vitanda viwili chumbani ili mtoto alale na mama au baba hadi aishie usingizini kisha ndio nyie mkalale wenyewe kwenye kitanda chenu. hali hii iendelee hado mtoto afikishe miaka 3. hapa mtatakiwa kumuamisha chumba na kuampeleka kulala chumba chake ambapo pia mama na baba usiku mtalazimika kwenda kumuangalia amelalaje.

mtoto anapotengwa chumba kwa siku za kwanza msifanye ni routine ya kila siku ila mwelezeni kabisa mnamjengea utashi wa kuwa independent. siku moja moja mwaweza kumchukua mkalala naye au wakati ni mgonjwa but siku nyingine mnayotaka privacy basi mtoeni mkamlaze chumbani kwake.

kitanda cha huyu mtoto chumbani kwenu kiwepo kwani ni makosa sana kulala na mtoto mdogo kitanda kimoja ingawa sisi waafrika tumezoea. hata kama kazaliwa leo, basi alale na mama tu na akisha sinzia kabisa afunikwe aachwe peke yake. hali hii kisaikolojia humjengea mtt ujasiri, na pia humfanya asiwe tegemezi. vile vile humpunguzia risk za magonjwa jamani.manake mmetoka kufanya tendo la ndoa mara ukajikuta umemgusa mtoto binafsi sioni kama imekaa vizuri hii kwangu.

Mkuu
Katika kosa kubwa ambalo huwa linafanywa na wazazi kwenye malezi ya watoto wao ni katika step hii, wewe umezungumzia kulala, lakini mimi naomba nizungumzie swala la ni wakati gani muafaka kukaa uchi mbele ya mtoto wako.

Mtoto hadi anafikisha umri wa miaka mitatu nadhani ni poa tu kama unaweza kukaa nae akiwa uchi, hapa nakidiria kwamba huo ni umri ambao mtoto akiona maumbile ya mama anaweza akayatofautisha na ya baba. Ni vyema kuwa huru na mtoto, ili aweze kujitambua, lakini mambo ya kujificha ficha yanamsababishia viulizo kichwani, mtoto anaingia ndani ghafla wewe unakimbilia kuficha nyeti, unasababisha mtoto kujiuliza kuna nini pale na kuwa mwanzo wa kumchanganya.

Kumbuka ni hatari sana kwa mtoto wako kujifunza kitu chochote kutoka kwa watu baki badala ya wewe mzazi, wengi uabuse opportunity za kutrain. Kama kwa lulu & co,

Well said mkuu, mtoto ukitaka upende malezi yake akiwa na kama miezi sita hivi (anakula chakula chochote na keshajua usiku ni kulala tu) unafanya kumzoesha kulala vyumba tofauti tofauti na watu tofauti ili kuzea hiyo hali. Kikubwa uwe makini na usalama wa mtoto, awe na kitanda kinachohama kwa usalama zaidi ili alale kitanda chake chumba chochote.

Tatizo Waafrika wengi huwa tuna desturi kuwa ukifanya maandalizi ya ujauzito na maandalizi ya mtoto anayekuja wanachukulia kuwa ni uchuro!! Ukinunua vitu vya maandalizi wanaishia "kukuuliza akifa je?" na hali hii inafanya tusiwe na tabia ya kufanya planning ya ujauzito wa mtoto/watoto wanaotarajiwa kutafutwa na kuzaliwa!! Hatimae utakuta hali inafika kuwa mbaya kwa familia, watoto watatu hadi wanne tena wa jinsia tofauti wanashea chumba kimoja na wazazi.

Lakini mambo huwa ni rahisi pale mnapoanza kuishi pamoja mkajadili kwanza kabla ya kubeba mimba juu ya huduma za huo ujauzito na hata mtoto ajae kuwa atakula nini, atalala wapi, atavaa nini na atacheza mazingira yepi!!
 
wazungu hua hawalali na watoto hata wakiwa wadogo maana si unajua wale ngono ni daily so watoto wanakua wanawawekea kauzibe
 
Muda muafaka hapa sio umri bali check yafuatayo;

1.kakianza kukodoa macho na kuona aibu wakati mmekula pozi la kingono na mamsup kafanyie transfer

2.Kakianza kutoa comments kwenye topic za kikubwa hata kama hakawezi kuongea vizuri kape transfer

3.Ukiona hakapati usingizi pale mech imeanza kape transfer

4.kachunguze kenyewe kama kanatambua mambo mnayofanya na mkeo kanayaelewa kwa upana upi kama kanaonesha uelewa kape transfer

CONCLUSION
Nimeshindwa kutaja umri ili nipate swali zima kutokana na ukweli ni kwamba watoto wa siku hizi hawaeleweki hawafuati growth phase tulizozizoea.e.g mtoto ana miezi minne eti analilia ugali anaokula mama yake na hadi umpe ndo ananyamaza.

Pia desturi wanayoitumia wazungu kuwatenga watoto wao chumba tangu uchanga unaepusha kuaribika kwa maadili kwa mtoto na pia inasaidia kumjengea hali ya kujiamini mtoto tangia utotoni ndiyo maana hawa jamaa sio waoga kabisa recall "building of church in Evil forest in things fall apart by Chinua achebe"
 
Miezi sita tu inatosha........................LOL

Kwa umri huo hata raha sitakuwa nayo chumbani, maana nitakuwa naenda kumchungulia kila baada ya saa moja, hasa akiwa kifungua mimba. Lakini ni vizuri mlale naye chumba kimoja hata afikie umri wa kuongea ili mtakapomhamishia kwa Mdada wa kazi kubaini kama akifanyiwa mabaya. Vinginevyo, huko kwa Mdada wa kazi ndiko anawezjifunza makubwa kuliko ambayo angejifunza kwenu wazazi.
 
jamani twendeni mbele turudi nyuma, watoto wa siku hizi wako na akili sana since day one anapozaliwa. zamani mtoto alikuwa akizaliwa hata macho hafungui mpaka baada ya siku saba lakin leo kana toka tumboni na macho kamefumbua kesho yake ukikaekea kalam au rangi rangi kanaanza kufuata kwa macho akiashiria kuwa macho yanaona.

ni busara sana mama na baba kulala na mtoto mchanga chumbani mwao. to me ningeshauri muwe na vitanda viwili chumbani ili mtoto alale na mama au baba hadi aishie usingizini kisha ndio nyie mkalale wenyewe kwenye kitanda chenu. hali hii iendelee hado mtoto afikishe miaka 3. hapa mtatakiwa kumuamisha chumba na kuampeleka kulala chumba chake ambapo pia mama na baba usiku mtalazimika kwenda kumuangalia amelalaje.

mtoto anapotengwa chumba kwa siku za kwanza msifanye ni routine ya kila siku ila mwelezeni kabisa mnamjengea utashi wa kuwa independent. siku moja moja mwaweza kumchukua mkalala naye au wakati ni mgonjwa but siku nyingine mnayotaka privacy basi mtoeni mkamlaze chumbani kwake.

kitanda cha huyu mtoto chumbani kwenu kiwepo kwani ni makosa sana kulala na mtoto mdogo kitanda kimoja ingawa sisi waafrika tumezoea. hata kama kazaliwa leo, basi alale na mama tu na akisha sinzia kabisa afunikwe aachwe peke yake. hali hii kisaikolojia humjengea mtt ujasiri, na pia humfanya asiwe tegemezi. vile vile humpunguzia risk za magonjwa jamani.manake mmetoka kufanya tendo la ndoa mara ukajikuta umemgusa mtoto binafsi sioni kama imekaa vizuri hii kwangu.
 
Inategemea na nyumba unayoishi....kama ni chumba kimoja utamuhamishia wapi mkuu???

mkuu chumba kimoja??? mlikuwa serious kuanzisha familia kweli kwa maandalizi ya chumba kimoja??
 
Mie yalinitokea ya ajabu. Baada tu ya kumaliza tunda an mamsapu wangu mwanangu akaanza kumpa pole mama yake. Yeye alidhani tulikuwa tunapigana. Mie tangu siku hiyo nikakapa transfer. Kalikuwa nod kanaanza kuongea tuu
 
Mkuu
Katika kosa kubwa ambalo huwa linafanywa na wazazi kwenye malezi ya watoto wao ni katika step hii, wewe umezungumzia kulala, lakini mimi naomba nizungumzie swala la ni wakati gani muafaka kukaa uchi mbele ya mtoto wako.

Mtoto hadi anafikisha umri wa miaka mitatu nadhani ni poa tu kama unaweza kukaa nae akiwa uchi, hapa nakidiria kwamba huo ni umri ambao mtoto akiona maumbile ya mama anaweza akayatofautisha na ya baba. Ni vyema kuwa huru na mtoto, ili aweze kujitambua, lakini mambo ya kujificha ficha yanamsababishia viulizo kichwani, mtoto anaingia ndani ghafla wewe unakimbilia kuficha nyeti, unasababisha mtoto kujiuliza kuna nini pale na kuwa mwanzo wa kumchanganya.

Kumbuka ni hatari sana kwa mtoto wako kujifunza kitu chochote kutoka kwa watu baki badala ya wewe mzazi, wengi uabuse opportunity za kutrain. Kama kwa lulu & co,
 
Mara nyingi watoto wa kwanza wanachelewa kuamishwa chumba sababu wazazi hawana experience. Mwanangu wa kwanza na wa pili ilibidi wahame siku moja; baada ya kuona chumba kimekuwa kidogo. Ila nilijifunza kuwa inawezekana mtoto wa mwaka mmoja na nusu kuamishwa chumbani kwa wazazi, kwani mwanangu wa pili alihama akiwa na mwaka mmoja na nusu. Na uzuri wake mdogo analala mpaka kunakucha alikuwa ahamki kuomba chakula na analala na pampus. Mkubwa shughuli tulikuwa nayo ya kumwamsha kwenda ku pee. Mbona tumeweka zamu na mume wangu maana tuliona siyo fair kumwambia house girl awe anampeleka mtoto ku pee wakati ameshinda anafanya kazi siku nzima.

Kama nyumba ni kubwa na mimi nashauri watoto wasilale na house girl; sijuhi kwa nini lakini mimi roho yangu hainipi mwanangu kulala na mtu baki.

Asikwambie mtu kutokulala na watoto kuna raha yake; mnarudi kwenye ujana.
 
Mbona mi nasikia wako tofauti na ulichosema hapo kwenye bold? Nikimaanisha hawana hizo nguvu za sex daily. Lol.

Yes hawalali na watoto kwa sababu nyingi pamoja na usalama hasa kama mtoto analala kitanda kimoja na mzazi, anaweza kulaliwa. Wana sheria nyingi za kumlinda mtoto, ila sidhani kama wanajali kama watoto wao wanawaona wanapo do. Wangekuwa wanajali basi watoto wao wasingejua mambo ya sex wakiwa wadogo.


wazungu hua hawalali na watoto hata wakiwa wadogo maana si unajua wale ngono ni daily so watoto wanakua wanawawekea kauzibe
 
my first born nilimuhamisha akiwa na miezi 3, imediateky nilipoanza kazi tu, akahamia kwa dada, nilikuwa naamka usiku kunyonyesha tu! nategesha alarm, so kila baada ya muda fulani nakwenda kunyonyesha, na nilipopata twins, nilihama nao mimi, ili daddy apate kupumzika bila manepi ya watoto, pampers au vilio visivyokwisha! so he was ol alone, akirudi job nakwenda kwake kuongea habari za famili, wakati watoto wapo na hausgalz, akitaka kulala narudi kwa twins. na akihitaji maongezi ya usiku ananipigia naruka fasta, tunaongea then narudi kwangu, so ilipofika miezi mi3 ya mimi kurudi job, twins walikuwa wameshazoea kulala kuleeee kwa dada, na mpaka kesho hawajui kama kuna kulala na dad na mum!
 
Nimeipenda thread hii, manake itasaidia wengi, wazazi wakati mwingine huchukulia kuwa watoto
hawaelewi mambo yanayofanywa na wazazi. Imeshatokea watoto kusimuliana mambo yanayotendwa
na wazazi wao usiku! Kimaadili ina impact kubwa tu kwani mtoto aweza kujaribu baadae mambo aliyoyaona.
Kuanzia mwaka 1 na nusu mtoto asilale na wazazi. Awe na kitanda chake kidogo katika chumba kingine , ili alale mwenye na siyo kulala na dada au mtu mwingine yeyote.
 
pamoja na maelezo mazuri ya wachangiaji, uwezo wa familia kumudu accomodation yenye nafasi ya kutosha pia ina-matter
 
Maadili ya kiafrika yanatuelekeza kutochangia chumba na watoto wetu wakati wa kulala hususani usiku ambapo mambo mengi na maongezi ya kifamilia kati ya baba na mama


hufanyika.

Maongezi ya baba na mama ni mengi kuanzia maisha ya watoto na pia mijadala mingi ya maisha yanayoendelea mtaani, ambapo wanandoa hupashana habari na wakati mwingine kupeana umbea wa hapa na pale, lakini pia chumbani kwa wazazi ndo kiwanda cha kutafutia watoto wengine ili kutimiza andiko la kuijaza dunia kama tulivyoagizwa.

Sasa naomba kujua umri sahihi au ni wakati gani muafaka wa kumpa mtoto uhamisho wa kutoka chumbani kwa wazazi awape nafasi ya kufanya yote hayo niliyosema hapo juu, pia kutokubeba wanayofanya wazazi na kupeleka mtaani kwa watu wasiohusika na kuwaaibisha

wazazi.

Haitakiwi kabisa mtoto kulala na wazazi awe na chumba chake,au atleast awe na kitanda chake mwenyewe,tangu anatoka hospitali.
 
binafsi nimeipenda thread hii pia, imenifundisha mengi. Mtoto wangu wa kwanza tulilala naye hadi miaka miwili. Siku moja alituaibisha sana sebuleni mbele ya wageni maana alikuja na akakaa peke yake. Baadaye akaanza kucheza na mdori wake ambao ni mkubwa kama yeye wa chura, alimlaza chini na kumlalia kwa style fulani ambayo pia huwa tunaitumia, na akaanza kufanya vitendo huku akijifnya anahema sana, kwa ufupi alikuwa anaiga kile tunachofanyaga, mke wangu alimtoa kiaina laikini tuliona aibu sana, tangu siku hiyo tumemhamisha japo hataki kabisa.
Nimeipenda thread hii, manake itasaidia wengi, wazazi wakati mwingine huchukulia kuwa watoto
hawaelewi mambo yanayofanywa na wazazi. Imeshatokea watoto kusimuliana mambo yanayotendwa
na wazazi wao usiku! Kimaadili ina impact kubwa tu kwani mtoto aweza kujaribu baadae mambo aliyoyaona.
Kuanzia mwaka 1 na nusu mtoto asilale na wazazi. Awe na kitanda chake kidogo katika chumba kingine , ili alale mwenye na siyo kulala na dada au mtu mwingine yeyote.
 
Maadili ya kiafrika yanatuelekeza kutochangia chumba na watoto wetu wakati wa kulala hususani usiku ambapo mambo mengi na maongezi ya kifamilia kati ya baba na mama hufanyika.

Maongezi ya baba na mama ni mengi kuanzia maisha ya watoto na pia mijadala mingi ya maisha yanayoendelea mtaani, ambapo wanandoa hupashana habari na wakati mwingine kupeana umbea wa hapa na pale, lakini pia chumbani kwa wazazi ndo kiwanda cha kutafutia watoto wengine ili kutimiza andiko la kuijaza dunia kama tulivyoagizwa.

Sasa naomba kujua umri sahihi au ni wakati gani muafaka wa kumpa mtoto uhamisho wa kutoka chumbani kwa wazazi awape nafasi ya kufanya yote hayo niliyosema hapo juu, pia kutokubeba wanayofanya wazazi na kupeleka mtaani kwa watu wasiohusika na kuwaaibisha wazazi.

Ni maamuzi ya wazazi hakuna muda maalum, lakini ni vizuri ikafanyika mapema labda ndani ya miezi sita....wengine hata kichanga kinaanza kulala chumba chake halafu inawekwa monitor ambayo kama mtoto ataamka basi wazazi huweza kusikia na hivyo kwenda kumshughulikia.
 
miezi 3 , tena analala peke yake ila kila mara kumcheki.......

Sina amani mwanangu kulala na hg......afterall anakuwa kachika na kazi za sikunzima
 
Nashukuru sana kwa michango mizuri ndani ya jumba hili, my exprience on this ni kuwa, mimi na watoto wawili wa kiume, wa kwanza akiwa na miaka mitatu na miezi 9 na wa pili mwaka mmoja na nusu.

Watoto hawa tunaishi nao chumbani kwa mda wote huo, si kwa sababu nyumba yetu ni ndogo la hasha, kwa nyumba namshukuru Mungu nimefanikiwa kujenga nyumba kubwa na ya kisasa ambayo mambo yote haya niliyaona na kuyapa nafasi ambapo niliplan chumba near by to my room chumba cha watoto nikitegememea ukimhamisha mtoto mdogo anatakiwa asilale mbali sana, na baadae kadri anavyokuwa unaweza mwamishia chumba kingine cha mbali mana anakuwa amejijengea kujiamini na pia uhuru mwingine wa kuishi peke yake.

Tatizo langu kubwa limekuwa na mke ambaye hataki kuwahamisha watoto chumbani kwa madai kuwa watoto wanampa kampani ukizingatia mimi kazi yangu ni Auditor hivyo nakuwa nasafiri sana mikoani kikazi.

Siku moja katika harakati za kutaka kula tunda kumbe mtoto mkumbwa wakati akiwa bado ananyonya, alifikiri nataka na mimi kunyonya, hivyo tunagombea nyonyo ya mama, hivyo nilishangaa napigwa kofi mgongoni na akasema "nyonyo yangu"

Nimejaribu sana kumsihi tuwahamishie katika chumba chao maalumu ambacho nimewawekea kila facilities za kitoto kama TV yenye channel ya Cartoon, cd za cartoon, games, library ndogo yenye vitabu vyao na ni selfu ili mambo yao yaishie hukohuko lakini bado hataki. Japo suala la kifamilia kama unyumba linaafanyika kama kawa ila mimi najisikia guility and ashamed to my babies, najihisi kama suwatendei haki watoto ambao nawaona kama marafiki zangu.

Hii ndo imefanya niulize na nipate expetience kwa wenzangu,
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom