Je ni uamuziii gani utachukua

KAJICHO KIVULI

JF-Expert Member
Jul 30, 2013
2,061
545
ukiwa huna hili wala lile unashtuka na kofi moja zito la uso linakupeleka kufumba macho, kabla huja kaa sawa inakuja ngumi ya uso halafu unasikia sauti ya anae kupiga ikisema NILIKWAMBIA IPO SIKU NITAKUKAMATA TU ile kuinua sura unakutana na sura usiyoifahamu kabisaaaaa!!! halafu na yeye anashtuka baada ya kukuona kisha anakwambia SAMAHANI NIMEKUFANANISHA

Je ni uamuziii gani utachukua....
 
Upo sehemu unatembea kwa
miguu katikati ya safari yako ukiwa
huna hili wala lile unashtuliwa na
kofi moja zito la uso mpaka
unafumba macho ile hujakaa sawa
Inakuja ngumi ya pua,halafu
unasikia sauti ikisema ""NILIKWAMBIA IPO SIKU NTAKUKAMATA'' ile unainua sura unakutana na mtu
usiemjua kabisa halafu na yeye
baada ya kukuona vizuri
anasema"SAMAHANI
NIMEKUFANANISHA"" Swali :Sasa
hapo utafanyaje???
 
Yaani jibu nitalipata siku hiyo ya tukio maana ndo nitajua kuwa ni kofi la aina gani maana duh!
 
Nampotezea aondoke kisha nakusanya nguvu halafu namfata kwa nyuma nampa bonge
la tama ile anafika chini namkanyaga buti la kichwa akinyanyuka namkung'uta ngumi ya roho halafu namuuliza kuna jipya?
 
Hapana huta mfaidi kama alivyokufaidi,chamsingi unamfuatilia mpaka ujue anapoishi then unajipanga kumteka.Hapo utamfaidi saaaafi.
 
Kama ni mimi kwanza nalia, alafu nitamparura, kisha namng'ata then namalizia na bonge la ngumi la shingo kudadeki
 
ukiwa huna hili wala lile unashtuka na kofi moja zito la uso linakupeleka kufumba macho, kabla huja kaa sawa inakuja ngumi ya uso halafu unasikia sauti ya anae kupiga ikisema NILIKWAMBIA IPO SIKU NITAKUKAMATA TU ile kuinua sura unakutana na sura usiyoifahamu kabisaaaaa!!! halafu na yeye anashtuka baada ya kukuona kisha anakwambia SAMAHANI NIMEKUFANANISHA

Je ni uamuziii gani utachukua....
Yaani natabasamu kabla ya kukujibu, kwa kweli ....

Maana kitakachofuata hakitabiriki kwa wakati huo wa tukio litakapotokea

Ngoja niishie hapa
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom